adsense master
Senior Member
- Mar 12, 2019
- 107
- 171
Habari wakuu nahitaji simu ya bei rahisi kabisa, ila iwe na 4G kwa Vodacom. Naelekea dukani msaada please
Bei rahisi ndo nini? Hujataja budget yako ni TZS ngapi! Kwaio swali lako hili lina utata ka vp unaweza enda vodashop kuwaulizia maana wanazo sim za bei rahisi na ni ziko customized na huduma yao ya 4G..Habari wakuu nahitaji simu ya bei rahisi kabisa, ila iwe na 4G kwa Vodacom. Naelekea dukani msaada please
Android? Duh!
Sio android, ni kaiOSAndroid? Duh!
Kwa anae zifahamu izi simu anisaidie ushuhuda zipoje maana nimeenda Vodashop wakasema zimeisha nataka nijipatie moja
Umesema hamna cha 4G halafu unataka maelezo mengine tenaHapa amna cha 4G wala nn ni Zuga Zuga tuKwa anae zifahamu izi simu anisaidie ushuhuda zipoje maana nimeenda Vodashop wakasema zimeisha nataka nijipatie moja
Umesema hamna cha 4G halafu unataka maelezo mengine tena