chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
hizi simu kiufupi na historia nayo kwenye soko lake.
mara ya kwanza nilianza kushika iphone 2g
bei yake ilikuwa kawaida na na ushindani wake ulikuwa wa kawaida sana.kipindi hiko kampuni kama blackberry ikiwa ndio gumzo mtaani.
mateleo ya iphone yalipoanza kuja kuanzia
3g,3gs,4,4s,5,5s bei zilikuwa tofauti sana.
sasa kuja kuanzia 6-12 pro max bei iliyoanzia na simu toleo jipya bei inazidi kupanda.
je hipo siku iphone toleo jipya huko mbeleni itakuja kufika bei ya milioni 9
mara ya kwanza nilianza kushika iphone 2g
bei yake ilikuwa kawaida na na ushindani wake ulikuwa wa kawaida sana.kipindi hiko kampuni kama blackberry ikiwa ndio gumzo mtaani.
mateleo ya iphone yalipoanza kuja kuanzia
3g,3gs,4,4s,5,5s bei zilikuwa tofauti sana.
sasa kuja kuanzia 6-12 pro max bei iliyoanzia na simu toleo jipya bei inazidi kupanda.
je hipo siku iphone toleo jipya huko mbeleni itakuja kufika bei ya milioni 9