Denis Alphonce
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 620
- 850
Ni bahati tu mzee nimetumia bb curve Mara mbili zote nilinunua kwa washkaji, BB storm niliuziwa na jamaa ilikuwa Ina touch moja Safi Sana z10 nimetumia 3 moja nilichukua mtandaoni but Kama unazitaka uwe una search kupatana, na zoom jiji utapataMkuu ukifahamu chimbo lake hapa tupeane maujanja
Simu matata sana hizi