Wasap na insta za windo zipo ziapiga kaz fresh tushida ni kwamba mbali na bei hiyo kuna vitu vya msingi utavikosa,mfano whatsapp.
Nlitumia pia n moja yaa sm bora sana ezi hzo kwa bongo imewahi kuuzwa had lak3 naa...Simu yangu ya kwanza ilikua Motorola bapa, nilipewa zawadi ya simu pamoja na mpira kutoka kwa beberu mmoja hivi kwa kipindi hicho kijiji kizima mwenye simu kali ni mimi hapo nipo darasa la saba...walimu, wanafunzi wao, Afisa Elimu Kata, Wauguzi katika kituo cha Afya wote walipata habari za simu hii. I was a celebrity...
View attachment 1631960
NB: Mabeberu walishatuzoesha na misaada toka tupo underground. Hii ni vita ya kiuchumi ndugu zangu katika kuelekea dona kantri.
Dah umenikumbusha mbali sana aiseeNokia express music, mashine hiyo View attachment 1632149
Nimetumia E72 mpaka jamaa wakaamua kunizimia What'sApp aise.View attachment 1631915
Nokia E7-00 na E72
Bado unayo mpaka sasa? Hii machine ni hatariNimetumia E72 mpaka jamaa wakaamua kunizimia What'sApp aise.
Ninayo mkuu, inatumika kama simu ya mezani ilimradi niwe naiona ona tuu 😊Bado unayo mpaka sasa? Hii machine ni hatari
Nokia kwakweli alikuwa bora sana ni vile dunia inaenda kasi mimi bado nazipenda mpaka leoNinayo mkuu, inatumika kama simu ya mezani ilimradi niwe naiona ona tuu 😊
Tatizo sony ericson ilikuwa shida & tatizo la netwrkmiaka ya 1998 nilianza na nokia 8210 halafu baadae sonyericson walitisha baba miaka ya kuanzia 2000 halafu pia miaka ya kuanzia 2010 nikaja kuwakubali sana blackberry ila ndo hivyo kazi ya mungu haina makosa wote wako mbele za haki
Walikuwa vizuri saana. Kuna features ambazo zilikuwa kwenye Symbian 60 enzi hizo, zimechukua miaka kuwa kwenye Android. Mfano ku-install application kwenye SD card.Nokia kwakweli alikuwa bora sana ni vile dunia inaenda kasi mimi bado nazipenda mpaka leo
Research in MotionBlackberry, na hapa natumia Z10. Ingawa ni ya kizamani ila nafurahia sana
Hiyo ni toleo la Pili, sasa Toleo la kwanza nilinunu 280,000 posta, kama kulikuwa na simu ilitamba sana kwa siye wapenda music ni hiyo express music alikuwa inakuja na Earphones kali sana aseee , mpaka sasa sijaona simu yenye mdundo kuzid hii kitu japo zaidi ya miaka 10 imepita toka niitumie, nilikuja kumuonga mdada toka zenji asee ahh ahhNokia express music, mashine hiyo View attachment 1632149