Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,866
- 155,822
- Thread starter
- #101
Camera hiyo haiachi kitu
😲🤣Hivyo vidole baba
😲🤣Hivyo vidole baba
N seriesn9300i Nokia, bonge la simu asee enzi hizo
Sim niliyotokea kuipenda sana niSimu zinakuja na kuondoka. Binafsi nimetumia simu nyingi sana. Simu yangu ya kwanza ilikuwa Motorola, mwaka 1996, service provider wangu alikuwa Tritel.
Lakini katika simu zote ambayo nilizama nayo penzini kwa dhati ilikuwa Nokia Lumia 1020, hiyo ilikuwa 2012.
Hadi leo sijaona mwamba wa kulitikisa jabali lile.
Let's share the experience
Nashkuru chiefkwa pesa hyo unapata Tecno na infinx mpya kabisa lakin pia kama mdau wa simu za mkononi unapata samsung kali tu
Dah huo mzigo ni shidah.
Hatari hizi kituMi nilikuwa ninayo z30 kuanzia 2014 mpaka 2017... bonge la simu... BlackBerry wanajua sanaaaa
Nilipewa na bro 2006 baada ya kufaulu o level. Hivi naweza pata wapi siku hiziSimu yangu ya kwanza ilikua Motorola bapa, nilipewa zawadi ya simu pamoja na mpira kutoka kwa beberu mmoja hivi kwa kipindi hicho kijiji kizima mwenye simu kali ni mimi hapo nipo darasa la saba...walimu, wanafunzi wao, Afisa Elimu Kata, Wauguzi katika kituo cha Afya wote walipata habari za simu hii. I was a celebrity...
View attachment 1631960
NB: Mabeberu walishatuzoesha na misaada toka tupo underground. Hii ni vita ya kiuchumi ndugu zangu katika kuelekea dona kantri.
Hivi karibuni Motorola walikua wanapanga kuirudisha hii simu sokoni ikiwa imeboreshwa zaidi ni moja ya matoleo ya simu zao ambazo zilifanya vizuri sana sokoniNilipewa na bro 2006 baada ya kufaulu o level. Hivi naweza pata wapi siku hizi
Nokia 3310, ilikuwa simu nzuri sanaSimu zinakuja na kuondoka. Binafsi nimetumia simu nyingi sana. Simu yangu ya kwanza ilikuwa Motorola, mwaka 1996, service provider wangu alikuwa Tritel.
Lakini katika simu zote ambayo nilizama nayo penzini kwa dhati ilikuwa Nokia Lumia 1020, hiyo ilikuwa 2012. Hadi leo sijaona mwamba wa kulitikisa jabali lile.
Let's share the experience
Napenda Sana blackberry nimezitumia nyingi curve,storm,z10 natamani Sana passport blackberry ni mashineHuu mzigo jamaa angu mmoja alinunua ikawa inamshinda baadhi setting ivo akaniambia nikaichek kwenda nakutana na huyu mnyama.
Nikamwambia niuzie akagoma.
Mnyama hatari sanaa iphone hapa ni mbulura tu.
Hivi bado zipo?Simu yangu ya kwanza ilikua Motorola bapa, nilipewa zawadi ya simu pamoja na mpira kutoka kwa beberu mmoja hivi kwa kipindi hicho kijiji kizima mwenye simu kali ni mimi hapo nipo darasa la saba...walimu, wanafunzi wao, Afisa Elimu Kata, Wauguzi katika kituo cha Afya wote walipata habari za simu hii. I was a celebrity...
View attachment 1631960
NB: Mabeberu walishatuzoesha na misaada toka tupo underground. Hii ni vita ya kiuchumi ndugu zangu katika kuelekea dona kantri.
Hapa kwenye e72 tupo pa1 hii cmu ni moto itabd niitafute tenaView attachment 1631915
Nokia E7-00 na E72
niliinunua kikuu mwez wa tatu 90000
Hiyo p30 bei gani?Nokia N72, Huwawei Y9 2019, na sasa natumia huwawei P30 ziko vema sana hizi simu.
Imepanda saiv ni km kilo na 30 hvniliinunua kikuu mwez wa tatu 90000