- Thread starter
- #21
Ok nikitafuta fundi simu namwambiaje yani nimwambie aifanye nini ,Hizo ni kazi za watu mkuu, ngumu ku unlock mwenyewe nyumbani, hapo hadi utafute mafundi wenye box.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok nikitafuta fundi simu namwambiaje yani nimwambie aifanye nini ,Hizo ni kazi za watu mkuu, ngumu ku unlock mwenyewe nyumbani, hapo hadi utafute mafundi wenye box.
Ok mkuu nikipeleka kwa fundi namwambiaje ? Yani namwambia aifanye nn mkuuHizo ni kazi za watu mkuu, ngumu ku unlock mwenyewe nyumbani, hapo hadi utafute mafundi wenye box.
Nisaodie mkuu nimeinunua laki 750, 000/= nilikuwa nataka kuirudisha lkn nikifanikiwa ku unlock ikafanya kazi vizuri itakuwa vizuri maana naipenda sana hii simu nzuri mno shida ndo imetokea hiyo baadhi ya network hazifanyikazi hasa 3gOk mkuu nikipeleka kwa fundi namwambiaje ? Yani namwambia aifanye nn mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una option ya kuirudisha sio mbaya akupe inayoishiwa na F kwa mbele, hizo ndio version za kimataifa zisizosumbua.Nisaodie mkuu nimeinunua laki 750, 000/= nilikuwa nataka kuirudisha lkn nikifanikiwa ku unlock ikafanya kazi vizuri itakuwa vizuri maana naipenda sana hii simu nzuri mno shida ndo imetokea hiyo baadhi ya network hazifanyikazi hasa 3g
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo nimeinunua dodoma na ninaishi kigoma kuna kagarama hapo kama laki2 kuipeleka na kurudi ndomaana inanipa taabu kidogoKama una option ya kuirudisha sio mbaya akupe inayoishiwa na F kwa mbele, hizo ndio version za kimataifa zisizosumbua.
Kwa fundi hapo anatakiwa kutoa Network lock/ku unlock band, ukimuelezea tatizo atajua. Na si fundi wa kufungua fungua simu anatakiwa fundi wa software.
Acha nipeleke kwa fundi nimwambie a unlock netKama una option ya kuirudisha sio mbaya akupe inayoishiwa na F kwa mbele, hizo ndio version za kimataifa zisizosumbua.
Kwa fundi hapo anatakiwa kutoa Network lock/ku unlock band, ukimuelezea tatizo atajua. Na si fundi wa kufungua fungua simu anatakiwa fundi wa software.
Mkuu chief mkwawa nimepeleka simu kwa fundi wa soft ware anasema eti anaiflash simu ndo matengenezo yake sasa nimemwambia aache kwanza nikuulize kama kuflash simu ndo tiba ya simu yangu. Nisaidie hapo pleaseHizo ni kazi za watu mkuu, ngumu ku unlock mwenyewe nyumbani, hapo hadi utafute mafundi wenye box.
Mkuu chief mkwawa nimepeleka simu kwa fundi wa soft ware anasema eti anaiflash simu ndo matengenezo yake sasa nimemwambia aache kwanza nikuulize kama kuflash simu ndo tiba ya simu yangu. Nisaidie hapo please
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kuflash sio tiba,Mkuu chief mkwawa nimepeleka simu kwa fundi wa soft ware anasema eti anaiflash simu ndo matengenezo yake sasa nimemwambia aache kwanza nikuulize kama kuflash simu ndo tiba ya simu yangu. Nisaidie hapo please
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu chief mkwawa nimepeleka simu kwa fundi wa soft ware anasema eti anaiflash simu ndo matengenezo yake sasa nimemwambia aache kwanza nikuulize kama kuflash simu ndo tiba ya simu yangu. Nisaidie hapo please
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaodie mkuu nimeinunua laki 750, 000/= nilikuwa nataka kuirudisha lkn nikifanikiwa ku unlock ikafanya kazi vizuri itakuwa vizuri maana naipenda sana hii simu nzuri mno shida ndo imetokea hiyo baadhi ya network hazifanyikazi hasa 3g
Sent using Jamii Forums mobile app
umeangalia imei na baseband zipo? piga *#06#Mkuu Chief-Mkwawa nami simu yangu Samsung galaxy S8 SM-G950F, line inasoma lakini haiwaki data,nikipigiwa sipatikan wala sms hazingii tatizo nn chief
umeangalia imei na baseband zipo? piga *#06#
ukiangalia salio au wewe kumpigia mtu inakubali?Zipo mkuu
wote mmeuziwa second hand kutoka uk, ambazo wanabadilisha housing, & battery zinaletwa uku saivi kama iPhone 5 to 7s8 kwa bei hiyo wamekupiga,mimi natumia s8+ hapa nimenunua 600k tu mpya kabisa na haijawahi kuzinguia
Sent using Jamii Forums mobile app
ukiangalia salio au wewe kumpigia mtu inakubali?
either line imekaa vibaya ama ni hilo tatizo la imei/baseband, kagua tena vizuri baseband nenda setting kwenye about kule icheki haijaandikwa unknown?Hapana inaandika not registered on network
Hiyo pesa mpelekee fundi software tu ni ya kwake, nisha fanya hilo tatizo kwa simu yangu mara 2 sbb restore.Hapana inaandika not registered on network
Hiyo pesa mpelekee fundi software tu ni ya kwake, nisha fanya hilo tatizo kwa simu yangu mara 2 sbb restore.
Ni kazi ya mda mfupi tu ya kuweka file inasoma mtandao.