Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Njoo nikupe Samsung Galaxy S6
Mkuu nenda page za business tanzania utapata tena nzuri na zimejaa400 tafuta samsung s6 utapata
Naomba ufafanuzi kwenye noise cancelation hapo inakuaje.Sony Xperia C5 Ultra
Water resistant, Noise Cancelation, Camera megapixel kama zote hv Selfie kali NK.
chaji ni kama masaa mangapi data ikiwa on tangu umeitoa kwenye charger?nashukuru sana kwa ushauri wenu nimenunua galaxy s6 kwa 450k naitumia hapa mida hii simu iko poa sana sijajutia pesa yangu
itakuwa hayazidi masaa 4chaji ni kama masaa mangapi data ikiwa on tangu umeitoa kwenye charger?
nimesha kataa utumwa wa kufungamanishwa na chaja ama powerbank kila niendako kama simu ina sifa zoote ila inakosa sifa ya kukaa na chaji hiyo sigusi kabisa.itakuwa hayazidi masaa 4