james bendui
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 547
- 472
Wakuu naomba kujuzwa simu yenye uwezo mkubwa hasa kwenye upande wa internent binasfi natumia s6 plus edge Samsung kwa low mtandao naona haifanyi vzr sana hasa huku nilipo sasa ni kijijini sana napata shida kuperuz ila kunajamaa j1 Samsung naona inajitahid sana kushinda yangu asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app