GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Habari zenu wadau, natafuta simu nzuri yenye internet lakini isiwe blackberry, na isiwe touchscreen, natumia mtandao wa tigo, kwenye tigo kama unatumia blackberry unaweza kulipa elfu 20 na ukapata intenet kwa mwezi mzima unlimited.....nauliza kwa simu za nokia
inawezekana??? au simu gani nyingine?
inawezekana??? au simu gani nyingine?