Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Salaam wakuu
Nina simu yangu hapa Nokia c1 ilipata tatizo la kioo nikarekebisha kwa kuweka kioo kipya,
Baada ya kuweka kioo kipya ikawa haipeleki chaji,baada ya kurekebisha ikaa poa chaji inapekeka na usb inasoma vizuri
Sasa baada ya siku chache usb haisomi na chaji inapeleka kama kawaida, usb debugging upande wa developer iko active sasa sijajua shida ni nini?
Kuna namna ya kutatua tatizo mwenyewe kabla sijaipeleka tena kwa fundi?
Msaada tafadhali.
Nina simu yangu hapa Nokia c1 ilipata tatizo la kioo nikarekebisha kwa kuweka kioo kipya,
Baada ya kuweka kioo kipya ikawa haipeleki chaji,baada ya kurekebisha ikaa poa chaji inapekeka na usb inasoma vizuri
Sasa baada ya siku chache usb haisomi na chaji inapeleka kama kawaida, usb debugging upande wa developer iko active sasa sijajua shida ni nini?
Kuna namna ya kutatua tatizo mwenyewe kabla sijaipeleka tena kwa fundi?
Msaada tafadhali.