Yoel eliud
Member
- Nov 11, 2017
- 28
- 12
Wazee I.T naombeni msaada wenu,
Simu yangu ina support 4G lite na nimeitumia kwa mda mrefu na huu ni mwezi wa tatu natumia 4G, ila sasa leo ni wiki 4G haipandi wala 3G inayo panda sasa ni 2G pekee nimejaribu kuset ninavo weza imegoma hadi nime restore lakini wapi nimejaribu hata ku frash bado imeshindikana.
Naomba kujua nitatizo gani hili au nifanyeje ili 4G ipande tena, naombeni mnisaidie
Simu yangu ina support 4G lite na nimeitumia kwa mda mrefu na huu ni mwezi wa tatu natumia 4G, ila sasa leo ni wiki 4G haipandi wala 3G inayo panda sasa ni 2G pekee nimejaribu kuset ninavo weza imegoma hadi nime restore lakini wapi nimejaribu hata ku frash bado imeshindikana.
Naomba kujua nitatizo gani hili au nifanyeje ili 4G ipande tena, naombeni mnisaidie