Simu ina chaji ndani, wakati mvua yenye radi ina chaji pia..hivyo naona kuna uwezekano wa mvutano na kusababisha madhara kwa chombo au hata mtumizi!
Lakini nimewahi kushuhudia simu iliyomlipukia mtu ikiwa mfukoni, na wakati huo hapakuwa na mvua wala radi!...Ni kwamba jamaa alisikia kishindo toka mfukoni, na ghafla suruali ikaanza kutoa moshi mwingi, huku jamaa akielekea kuwaka moto...
Kwa bahati nzuri alifanikiwa kuichomoa simu hiyo mfukoni na kuirusha mbali, huku akiachwa na matundu kwenye suruwali kiasi ilikuwa ni aibu kwake kutembea mbele za watu...alishauriwa kuripoti ishu hiyo kwenye kampuni ya simu prvider wa huduma hiyo, lakini walishindwa kutoa jibu la maana!
Hivyo simu zina hatari, whether kuna radi aMA la!
Simu ina chaji ndani, wakati mvua yenye radi ina chaji pia..hivyo naona kuna uwezekano wa mvutano na kusababisha madhara kwa chombo au hata mtumizi!
Lakini nimewahi kushuhudia simu iliyomlipukia mtu ikiwa mfukoni, na wakati huo hapakuwa na mvua wala radi!...Ni kwamba jamaa alisikia kishindo toka mfukoni, na ghafla suruali ikaanza kutoa moshi mwingi, huku jamaa akielekea kuwaka moto...
Kwa bahati nzuri alifanikiwa kuichomoa simu hiyo mfukoni na kuirusha mbali, huku akiachwa na matundu kwenye suruwali kiasi ilikuwa ni aibu kwake kutembea mbele za watu...alishauriwa kuripoti ishu hiyo kwenye kampuni ya simu prvider wa huduma hiyo, lakini walishindwa kutoa jibu la maana!
Hivyo simu zina hatari, whether kuna radi aMA la!
"hivyo naona"?...hivyo naona kuna uwezekano...
Hivyo ndivyo ilivyo. Ukweli ni kwamba simu za landline zina uwezekano mkubwa kuathirika kwa radi kwa vile upo radi hufuata mkondo wa waya wenye resistance ndogo. Simu za mkononi hazina waya na hilo linasababisha ugumu wa radi kufuata mkondo hadi kwenye simu.Simu za landline ndo zina hatari wakati wa radi kwa sababu umeme unataka ufuate njia yenye resistance ndogo so zinaweza kupiga nyaya za simu. Simu za mkononi hazina matatizo.
Simu za landline ndo zina hatari wakati wa radi kwa sababu umeme unataka ufuate njia yenye resistance ndogo so zinaweza kupiga nyaya za simu. Simu za mkononi hazina matatizo.
Labda kwa kuwa on peke yake hapo tunaomba wataalam watuelimishe lakini kupokea itakuwa na madhara. Jamani tuelimishe watu wasipende kutumia simu za mkononi wakati mvua inanyesha. Tusikimbilie kusema simu za mkononi hazina matatizo bila kuwa na uhakika. Kuna jamaa mmoja aliwahi kumkimbilia mtu aliyekuwa anapokea simu wakati mvua inanyesha na alikuwa nje, huyo jamaa akaikwapua simu na kumzuia kabisa asiitumie mpaka mvua iishe. Tulipotaka kujua maana yake alitusimulia kuwa aliwahi kumpoteza rafiki yake kwa kupigwa na radi wakati anaongea kwa simu ya mkononi wakati mvua inanyesha.
Sasa shida inakuja kwamba simu iko "On" je ikiita utaacha kuipoke? Hapa naamini wananchi waliosoma Physics watatusaidia sana kwa kutueleza uhusiano wa yale mawimbi ya simu na charge za radi.
Simu za landline ndo zina hatari wakati wa radi kwa sababu umeme unataka ufuate njia yenye resistance ndogo so zinaweza kupiga nyaya za simu. Simu za mkononi hazina matatizo.
Mobile phones and lightning
The claim that mobile phones are a risk when used in a storm is misleading.
According to safety authorities, somebody who is outside increases their risk of being struck if they are on high ground, in an open space, near water or near large metallic structures or trees. These factors are more important to safety in an electrical storm than the use of a mobile phone.
Although some people speculate mobile phones pose a risk when used outdoors because lightning is attracted to metal, mobile phone handsets generally contain insignificant amounts of metal.
Mobile phones are low power devices and do not have any characteristics which would make them attractive to lightning strikes.
Following worldwide media interest in 2006 (BBC News and British Medical Journal ), the US National Oceanic and Atmospheric Administration (NOAA) issued a statement, saying lightning is not attracted to people carrying mobile phones.
Cell phones, small metal items, jewellery, etc., do not attract lightning. Nothing attracts lightning. Lightning tends to strike taller objects, said John Jensenius, a NOAA National Weather Service lightning expert. People are struck because they are in the wrong place at the wrong time. The wrong place is anywhere outside. The wrong time is anytime a thunderstorm is nearby.
The concern that mobile phones attract lightning was first raised a number of years ago in an internet hoax and is now a recognised urban myth. The medical profession is well aware of the misinformation on this topic as pointed out by Dr. Mary Ann Cooper- Associate Professor, Departments of Emergency Medicine and Bioengineering, University of Illinois in Chicago, in her paper on lightning injury facts:
The medical literature and medical practice are resplendent with examples of (lightning) myth that grow out of misread, misquoted, or misinterpreted information and that then continue to be propagated without further investigation.
The types of injury observed are also well known and Dr Cooper also points out that:
No lightning danger is inherent to cellular phones. Although many reports of lightning injuries involve people who are using cell phones, these reports represent the ubiquity of cell phone usage and of their users' inattentiveness to weather conditions and have nothing to do with the phones themselves.
Dr Cooper clarifies that electrical lighting damage only occurs with the use of landline phones and not mobile phones.
mwee....hiki ni kisanga....hiyo simu usikute ilikuwa ni mchina, maana nasikia mchina huwa zinalipuka kama bomu....mbona tutakwisha wengi tunaotumia michina....na je tatizo lilikuja kujulikana ni nini?