Simu kutosevu majina netweki ikikosekana

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
May 4, 2012
3,022
1,305
Wakuu, salaam. Simu yangu ni TECNO Y3+. Tatizo hili linasababishwa na nini?Yaani simu kama netweki iko chini au hamna kabisa inashindwa kusevu majina. Tatizo limeanza toka juzi mchana. Nikahisi labda mimori yake imejaa lakini sivyo. Tatizo hili linanikera. Hii husababishwa na nini?Nijuavyo ni kuwa kusevu majina hakuhitaji network.
 
Yaani simu kama netweki iko chini au hamna kabisa inashindwa kusevu majina.
Aisee hii nayo ni kali ya 2017:D:D
Mkuu simu yako ina mapepo..!
Wewe ni pastor, toa huduma ya kiimani,
kwake yeye alieumba kila kitu hakuna kinachoshindikana..!
amEn
 
Back
Top Bottom