Simu kutokua HALALI ina maana gani?

Olympus

JF-Expert Member
Jul 27, 2013
2,817
668
Nimekua nikitumia simu yangu kwa muda wa miezi 11 sasa sija encounter any issue...Ila leo suddenly nimepata message toka Airtel kwamba simu yangu sio halali itafungwa within two days...Nimejaribu kuangalia imei yangu then nkaitrace through TCRA, wenyewe wakaniletea model namba ile ile ambayo ina correspond na simu yangu ila wakaniambia simu yangu imefungiwa wasiliana na mtoa huduma wako (BUT BADO SIMU YANGU INAFANYA KAZI)
Ningependa mtu anipe muongozo what is going on coz sielewi kabisa
 
Nimekua nikitumia simu yangu kwa muda wa miezi 11 sasa sija encounter any issue...Ila leo suddenly nimepata message toka Airtel kwamba simu yangu sio halali itafungwa within two days...Nimejaribu kuangalia imei yangu then nkaitrace through TCRA, wenyewe wakaniletea model namba ile ile ambayo ina correspond na simu yangu ila wakaniambia simu yangu imefungiwa wasiliana na mtoa huduma wako (BUT BADO SIMU YANGU INAFANYA KAZI)
Ningependa mtu anipe muongozo what is going on coz sielewi kabisa
Hapa hatujibu km hujajieleza vizuri
 
Nimekua nikitumia simu yangu kwa muda wa miezi 11 sasa sija encounter any issue...Ila leo suddenly nimepata message toka Airtel kwamba simu yangu sio halali itafungwa within two days...Nimejaribu kuangalia imei yangu then nkaitrace through TCRA, wenyewe wakaniletea model namba ile ile ambayo ina correspond na simu yangu ila wakaniambia simu yangu imefungiwa wasiliana na mtoa huduma wako (BUT BADO SIMU YANGU INAFANYA KAZI)
Ningependa mtu anipe muongozo what is going on coz sielewi kabisa
Itakuwa ya wizi sio halali
 
Lile zoezi la kuzifungia simu walisema ni kama la uhakiki wa kina bashite yani kila ukinasa inakula kwako!..si ajabu unaelekea nasa na wewe kwenye mtambo wao ndo maana inakuletea tahadhari mapema!..
 
Lile zoezi la kuzifungia simu walisema ni kama la uhakiki wa kina bashite yani kila ukinasa inakula kwako!..si ajabu unaelekea nasa na wewe kwenye mtambo wao ndo maana inakuletea tahadhari mapema!..
Sijakuelewa
 
Back
Top Bottom