Iko hivi simu kama inachanjiwa huku inatumika ina maana power inayo be supplied kwa device haitoshi kwa sababu una run task kibao Angalia output ya charge yako kama ni ndogo basi make sure unapochaji unazima simu ili power inayoingia isitumike badala yake ijaze battery
Navyojua mimi hata huawei
Simu yenyewe umesema techno
Wadau... Hivi inakuaje simu kuisha chaji wakati inachajiwa? Yaani simu mfano ilikuwa 20% baada ya kujaa inapungua... Tatizo hili nimeliona kwa simu ya bi mkubwa.. Anatumia Tecno M6..
Nilijua tuu lazima itakuwa tecno hiyo. Tupa hiyo simu nunua Startimes Mobile Phones
Kwahiyo solution hapa ni nini?
Uneme wa Tanesco unazingua.