Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 617
Habarini wanaJf
Ni simu hizi za Vodafone sikU nne zilizopita iliflashiwa baada ya kuflashiwa ukiiwasha Tu inadosplay ujaze google account na haiendelei zaidi ya hapo na ukihaza google account yoyote iliyo sahihi bado haifunguki naombeni msaada juu ya Hilo ile me nafikiria kuifanyia restoration labda ndo itakua solution?
Ni simu hizi za Vodafone sikU nne zilizopita iliflashiwa baada ya kuflashiwa ukiiwasha Tu inadosplay ujaze google account na haiendelei zaidi ya hapo na ukihaza google account yoyote iliyo sahihi bado haifunguki naombeni msaada juu ya Hilo ile me nafikiria kuifanyia restoration labda ndo itakua solution?