unachat na mpenzi wako...mambo yakawa hivi:
wewe: hey mpenzi, unafanya nini??
mpenzi: aaahhh...niponipo tu darling mechoka kichizi najiandaa kulala hapa, vipi wewe baby?
wewe: nipo club honey, infact nimesimama hapa nyuma yako ..
ungekuwa ndo weewe umebambwa au wewe ndo umembamba mpenzi wako,ungechukua hatua gani???
wewe: hey mpenzi, unafanya nini??
mpenzi: aaahhh...niponipo tu darling mechoka kichizi najiandaa kulala hapa, vipi wewe baby?
wewe: nipo club honey, infact nimesimama hapa nyuma yako ..
ungekuwa ndo weewe umebambwa au wewe ndo umembamba mpenzi wako,ungechukua hatua gani???