Simu feki za kenya zinaingia kwa fujo tanzania

Salathiel m.

Senior Member
Mar 12, 2011
185
41
Kutokana na simu feki kukoma kutumika nchini kenya,kupelekea wafanya biashara waliokua na mizigo mikubwa ya simu feki sasa wameanza kuja kuziuza nchini TZ. sasa bongo imegeuka dampo ingawa tuna shirika la viwango (tbs) lakini shirika hili halijihusishi na jukumu walilopewa,hii inapelekea kila bidhaa feki hua hapa TZ inauzika bila shida.
 
Kutokana na simu feki kukoma kutumika nchini kenya,kupelekea wafanya biashara waliokua na mizigo mikubwa ya simu feki sasa wameanza kuja kuziuza nchini TZ. sasa bongo imegeuka dampo ingawa tuna shirika la viwango (tbs) lakini shirika hili halijihusishi na jukumu walilopewa,hii inapelekea kila bidhaa feki hua hapa TZ inauzika bila shida.

Ni kweli kabisa ndugu yangu, nchi yetu hii imekuwa ndio jalala la kila uchafu.. halafu kuna mijitu imeajiriwa eti TBS, sijui na mashirika gani mengine ya kuangalia viwango mbali mbali yamekaa tu yamevimbiana matumbo na kujamba ofisini. bidhaa zote feki kutoka kokote duniani soko lake ni Tanzania, wanapewa rushwa wanapitisha, kama ulivyoona kwa ARVs. Hawa watu ni wakuja kupiga risasi tu, wanaudhi sana!
 
wangekuepo ata mafya flan wawe wanadili na mijitu mijinga kama tbc,ewura,tcra,tanesco na miwazir mijingamijinga, yani ni shaba tuu
 
Bibi alishaachia shamba sasa anabembea au kukotwa na farasi majuu. Nchi ikishakosa uongozi kila mmoja anapeleka anakoona kunamlipa.
Mawaziri alioweka ni feck, wizara zote ni feck unategemea nini? The so called viongozi ni washikaji kama sio mashemeji. Acha tuogelee katika uchafu hadi tufikirie nini maana ya kumchagua kiongozi wa nchi hii mwenye uwezo na maadili ya uongozi!
 
Kutokana na simu feki kukoma kutumika nchini kenya,kupelekea wafanya biashara waliokua na mizigo mikubwa ya simu feki sasa wameanza kuja kuziuza nchini TZ. sasa bongo imegeuka dampo ingawa tuna shirika la viwango (tbs) lakini shirika hili halijihusishi na jukumu walilopewa,hii inapelekea kila bidhaa feki hua hapa TZ inauzika bila shida.

Kama viongozi wetu ni feki watashindwaje kuingiza vitu feki? wewe nenda Kariakoo hata sasa hivi asubuhi utazikuta tu. Binafsi nilijua tu kuwa zitamwagwa hapa.
 
inasikitisha sana, Tumekuwa dampo la bidhaa feki huku viongozi wa magamba wakichekacheka tu, TBS wanafanyaga kazi gani?
 
Kutokana na simu feki kukoma kutumika nchini kenya,kupelekea wafanya biashara waliokua na mizigo mikubwa ya simu feki sasa wameanza kuja kuziuza nchini TZ. sasa bongo imegeuka dampo ingawa tuna shirika la viwango (tbs) lakini shirika hili halijihusishi na jukumu walilopewa,hii inapelekea kila bidhaa feki hua hapa TZ inauzika bila shida.

Shirika letu la viwango vya ubora halina kiwango
 
Hivi sisi hatutumii kweli hizo maana kama mimi sifahamu hata original zikoje na feki zikoje
 
Tz nchi ya holela na ubabaishaji kwa kuwa aliyekalia kiti cha juu ni dhaifu na hana meno, hana ubavu wa kuwawajibisha mafisadi kwa kuwa walimchangia pesa chafu kuingia ikulu, tz ni dampo arv feki waziri bado anadunda, simu feki tbs wanakula tu overtime, yaani tanzania ni kichefuchefu tupu, f*ck off.!
 
hili nililitegemea mapema pale tu ambapo kenya walitangaza kuzifungia simu za kichina miez miwili mbeleni
 
Back
Top Bottom