Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,774
Ni karibu miezi miwili iliyopita tangu kampuni inayoaminika sana ya Samsung kutangaza kuondoa toleo moja sokoni la Galax note 7,
Kampuni hiyo Ndiyo kampuni niliyoiamini zaidi, lakini kabla ya kuondolewa kwa simu hiyo ilileta madhara makubwa duniani, kwa kujeruhi watu, licha ya matangazo ya kuiondoa yaliyoathiri watu kisaikolojia na kuleta lapsha, Sina imani nayo kwa sasa!
Je ni smartphone ya kampuni gani unayoitumia wewe, ambayo umetokea kuiamini na kuiona inafaa sana?
Kampuni hiyo Ndiyo kampuni niliyoiamini zaidi, lakini kabla ya kuondolewa kwa simu hiyo ilileta madhara makubwa duniani, kwa kujeruhi watu, licha ya matangazo ya kuiondoa yaliyoathiri watu kisaikolojia na kuleta lapsha, Sina imani nayo kwa sasa!
Je ni smartphone ya kampuni gani unayoitumia wewe, ambayo umetokea kuiamini na kuiona inafaa sana?