Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 288
- 502
Nimepita mtandao wa Android Police ambao wameichagua Pixel 3A kuwa ndio simu bora kwa mwaka 2019. Sasa nikiangalia bei yake si ya kitoto halafu sioni kama ina watumiaji wengi Tanzania.
Sasa kwa sisi wa watumiaji wa Tecno, Samsung, Xiaomi, Oppo na nyinginezo zilizo na watumiaji wengi Tanzania ni simu gani unaipa marks kama zote kwa kuzingatia. RAM, Rom uwezo wa Chipset, Camera na suala la ukaaji wa betri bila kusahau bei.
Sasa kwa sisi wa watumiaji wa Tecno, Samsung, Xiaomi, Oppo na nyinginezo zilizo na watumiaji wengi Tanzania ni simu gani unaipa marks kama zote kwa kuzingatia. RAM, Rom uwezo wa Chipset, Camera na suala la ukaaji wa betri bila kusahau bei.