Simu alikuwa nayo mama sharoni!

Mwanakili90

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,568
245
Leo usiku wa saa8 nilistuka toka usingizini,kwa kuwa huwa na mazoea ya kumpigia simu mpenzi wangu muda wowote,nikaona si vibaya kumpigia simu na kuzungumza naye(ikumbukwe ni kawaida yetu).

Baada ya kupiga simu yangu ikawa imesubirishwa(waiting),zaidi ya masaa mawili kila nikipiga bado nawekwa waiting,nikatuma msg kimya.baadae nikatuma msg ya pili nikamwambia "NADHANI MWISHO WETU UMEFIKA SIWEZI LAZIMISHA SANA"
Hapo baada ya dk 5 kupita akanipgia simu na kuanza nambia,cjui nikwambie nini ili unielewe? Ila ukweli simu alikuwa nayo mama sharoni(ambae ni mfanyakazi wake wa ndani).na kujitetea kuwa mama sharoni hana line ya "sote ni ndugu" ndo mana akawa amempa aitumie simu yake. Kwangu haiclik kichwani na nipo njia panda.
Nimjibu nini?

Natanguliza shukrani zangu.
 
Dalili mbaya sana ila mzuie asitoe simu yake kwa m2 then uwe unampigia muda wowote ikijirudia hiyo hali utaweza chukua uamuzi
 
Changa la macho hilo ndugu yangu.... Mama sharon na simu yake usiku wote huo?...kama ni kawaida yenu na analifahamu hilo why agawe simu?...think twice.
 
pole....yaani ni ngumu kueleweka labda uamue tu kupotezea!
Yaani mama sharon alipoona simu inaita akashindwa kumkimbizia bosi wake?
(usikute hata jina alokusevu huko ukilijua utapata kifafa chaukubwani)
 
pole....yaani ni ngumu kueleweka labda uamue tu kupotezea!
Yaani mama sharon alipoona simu inaita akashindwa kumkimbizia bosi wake?
(usikute hata jina alokusevu huko ukilijua utapata kifafa chaukubwani)

Kuhusu jina halina shida. Kanisevu jina zuri tu.
 
pole....yaani ni ngumu kueleweka labda uamue tu kupotezea!
Yaani mama sharon alipoona simu inaita akashindwa kumkimbizia bosi wake?
(usikute hata jina alokusevu huko ukilijua utapata kifafa chaukubwani)
Atakuwa kamsevu 'battery law' sasa masharon akicheki screen anajua ni battery law, kumbe loooh shemu anapiga! Mambo ya simu jamani ni kichefu chefu!
 
Leo usiku wa saa8 nilistuka toka usingizini,kwa kuwa huwa na mazoea ya kumpigia simu mpenzi wangu muda wowote,nikaona si vibaya kumpigia simu na kuzungumza naye(ikumbukwe ni kawaida yetu).

Baada ya kupiga simu yangu ikawa imesubirishwa(waiting),zaidi ya masaa mawili kila nikipiga bado nawekwa waiting,nikatuma msg kimya.baadae nikatuma msg ya pili nikamwambia "NADHANI MWISHO WETU UMEFIKA SIWEZI LAZIMISHA SANA"
Hapo baada ya dk 5 kupita akanipgia simu na kuanza nambia,cjui nikwambie nini ili unielewe? Ila ukweli simu alikuwa nayo mama sharoni(ambae ni mfanyakazi wake wa ndani).na kujitetea kuwa mama sharoni hana line ya "sote ni ndugu" ndo mana akawa amempa aitumie simu yake. Kwangu haiclik kichwani na nipo njia panda.
Nimjibu nini?

Natanguliza shukrani zangu.
Mzee inaonekana unawapigaga chini fasta! Huyu Hajapokea simu tu, Unataka kumpiga chin! Dah!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom