Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,752
@Sexless: nikushauri Nini Mimi..sijawai kuwa kwenye ndoa.. hapa natamani TU nipate mume.. So nakushangaa wewe na unayoyafanya..Ushauri wako?
Ila nibora umuache huyu mumeo Kama kweli umeshindwa kumpenda. Lakini sidhani Kama BF atakuoa.. atakuona kiruka njiaa..yaani umeache ukaolewe than umrudie..
Hata you BF wako hakuwa choice yako coz Hana hela.. huyo mumeo anahela ila humpendi.
Tafuta TU mwingine atakae kuwa na hela na ukampenda.
Don't cheat if you don't want to stay ..leav.