KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Just have alook at them
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba asiwe wa mwisho nyuma...!!!!bwana harusi ni yupi????
bwana harusi ni yupi????
naomba asiwe wa mwisho nyuma...!!!!
Kwa vyovyote vile itakuwa ni yule aliyekaribu na kiuno cha bibi harusi, ukiacha dereva
yawezekana mpambe keshaoa ndo maana ana pete, na kama ujuavyo cheti cha ndoa akishachukua bwana harusi anamkabidhi bestman...Duhhh sasa mbona huyo ndo anapete (kaiva) na karatasi??
yawezekana mpambe keshaoa ndo maana ana pete, na kama ujuavyo cheti cha ndoa akishachukua bwana harusi anamkabidhi bestman...
nimependa viatu vya dereva wa maharusi
dahhhhh
kwa nini unadhani ndo huyo??
ha ha ha hadereva wa tukutuku
<br />Duhhh sasa mbona huyo ndo anapete (kaiva) na karatasi??