Simple mind discuss people-mara mnyika,zitto,h.rashid nk

KALAMAZOO

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
265
9
SIMPLE MIND DISCUSS PEOPLE, AVERAGE MIND DISCUSS EVENTS,GREAT MIND DISCUSS ISSUES.

Ninasikitishwa sn na baadhi ya wanjf wanaoanzisha threads za kujadili watu badala ya kujadili mambo ya msingi.It does'nt reflect the jf slogan of great thinkers.
Kuna mambo mengi ya msingi kuhusu nchi yetu ambayo tunapaswa kutumia muda wetu (time is money) kujadili.Kwa mfano:tufanye nini kuikoa nchi yetu na rushwa.Badala ya kuangalia the root cause ya ufisadi tunatumia muda mwingi kuitana majina ooh fulani ni fisadi nk.Hivi kumuita mtu fisadi inasaidia lolote? Tunatakiwa kama wtz tuweke pembeni maslahi ya vyama tuiangalie nchi yetu tutoe michango yetu ya namna ya kuboresha maisha ya watu wetu,maana njaa haibagui chama.Mimi ninakoishi hakuna maji ya bomba lakini hii haitubagui kwa vyama.
Let us be siriasi plizi
 
To discuss people ni kama unajadili, fulani kala nini, kavaa nini, anakaa wapi, anaendesha gari gani, anatembea na nani etc, zile issues ambazo ni personal na hazina maslahi kwa taifa. Kujadili mtu, mfano Mhe.Zitto, kauli zake na matendo yake as far as chama chake kinahusika, huku pia ni kujadili ideas, hivyo justification ya great mind bado inasimama kutegemeana na subject matter na sio ile kutaja taja tuu majina na mistari iso vina!
 
SIMPLE MIND DISCUSS PEOPLE, AVERAGE MIND DISCUSS EVENTS,GREAT MIND DISCUSS ISSUES.

Ninasikitishwa sn na baadhi ya wanjf wanaoanzisha threads za kujadili watu badala ya kujadili mambo ya msingi.It does'nt reflect the jf slogan of great thinkers.
Kuna mambo mengi ya msingi kuhusu nchi yetu ambayo tunapaswa kutumia muda wetu (time is money) kujadili.Kwa mfano:tufanye nini kuikoa nchi yetu na rushwa.Badala ya kuangalia the root cause ya ufisadi tunatumia muda mwingi kuitana majina ooh fulani ni fisadi nk.Hivi kumuita mtu fisadi inasaidia lolote? Tunatakiwa kama wtz tuweke pembeni maslahi ya vyama tuiangalie nchi yetu tutoe michango yetu ya namna ya kuboresha maisha ya watu wetu,maana njaa haibagui chama.Mimi ninakoishi hakuna maji ya bomba lakini hii haitubagui kwa vyama.
Let us be siriasi plizi
Usikalili mh. Ufisadi unafanywa na watu, Hatuta acha kusema KAgoda na RA, RADA na Mh Change, na hii inasaidia sana kuwapa ujumbe kwamba pindi kinga/ccm yao ikiondolewa watatarudishia vijisenti vyetu. Kina Wetangura, Ruto wanatengeneza habari. Uanaogopa nini tukisema fulani ni FISADI na HASA kama Mtu anakili ana vijisenti New Jersey. kwani bilioni 1 angeweka NBC, CRDB , NMB hata ungekopa mkuu.
 
SIMPLE MIND DISCUSS PEOPLE, AVERAGE MIND DISCUSS EVENTS,GREAT MIND DISCUSS ISSUES.

Kukariri nako kubaya.

Hayo mambo unayotaka yajadiliwe yanafanywa na Nguruwe???????

Hata yangefanywa na Nguruwe ungetujia na thread "Simple mind discuss pig,......" so nadhani we rudi tu darasani usaidiwe kujifunza kuelewa na sio kukariri
 
you must be simple mind that now you are discussing me instead of discussing the issue
 
Acha kupotezea watu muda na thread zako zisizko na kichwa wala miguu, watu wako serious hapa tuna changia lakini pia tunajenga taifa. Usidhani tumekaa tunakula kahawa tu.
 
Yes, we need to discuss our politician if they are competent and able to lead us, go back to school
 
Back
Top Bottom