Chadema mnahitaji message simple kwa wana igunga nayo ni CCM haina uwezo wala fedha za kujenga au kurepea daraja kwani
makampuni yao yote yamewashinda na yamefilisika.
Ni nani anayejenga daraja ?? Fedha zinazotumika kujenga madaraja na mabarabara ni fedha zenu za kodi ambazo zinatokana na wananchi wote walio na vyama na wasiyo na vyama.
CCM haina pesa za kufanyia hata kampeni zake yenyewe na ndio maana iliiba pesa kwa kutumia kampuni ya KAGODA. Kwahiyo nyie wananchi ndio mnaojenga daraja na siyo CCM NI UONGO MTUPU KUSEMA WAO NDIO WANA UWEZO WA KUJENGA DARAJA wangekuwa na uwezo wangefufua shirika lao la sukita.
makampuni yao yote yamewashinda na yamefilisika.
Ni nani anayejenga daraja ?? Fedha zinazotumika kujenga madaraja na mabarabara ni fedha zenu za kodi ambazo zinatokana na wananchi wote walio na vyama na wasiyo na vyama.
CCM haina pesa za kufanyia hata kampeni zake yenyewe na ndio maana iliiba pesa kwa kutumia kampuni ya KAGODA. Kwahiyo nyie wananchi ndio mnaojenga daraja na siyo CCM NI UONGO MTUPU KUSEMA WAO NDIO WANA UWEZO WA KUJENGA DARAJA wangekuwa na uwezo wangefufua shirika lao la sukita.