King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
- Thread starter
- #21
nashukuru sana ndg zangu kwa michango yenu, nadhani tunakubaliana wote kwamba huyu fisadi kamzidi hekima mkurupukaji Makamba anaejaribu kushawishi watu kwa maandiko (biblia na qurani) ili wamuone wa maana, wakati ki ukweli hajui hata kuyachambua hayo maandiko kazi yake kuwaita wenzake wadini.