King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
ndg zangu wana jamvi salaamu kwenu,
sio siri, kwa matukio aliyoyafanya huyu mzee hapo nyuma huwa simpendi yeye na wenzake wote waliohusika kutuletea mazingaobwe ya hasara kwa nchi yetu, weather direct or indirect.
nikirudi kwenye isu ya Arusha, nakumbuka msemo wa wa wahenga "myonge mnyongeni haki yake mpeni" Lowasa pamoja na mapungufu yake aliona mbali akatoa tahadhari kwa wakubwa wenzake kwamaba jamani tuzungumze Arusha ni kama meli iliyotoboka tuizibe mapema mana dhoruba yake ni kali.
akibuka mzee mmoja aliyezoea kukurupuka na kusema hovyo (sijui huwa anaota) akamkaripia vikali kigogog mwenzake huyo wa chama amabae angalau aligundua uozo uliofanyika kwamaba inabidi kusafishwa sio kupulizia pafume kwenye uchafu kama alivyofanya Makamba.
chakushangaza badala hata ya kuoana haya akaibuka teana baada ya tukio la Arusha kuwalaani Chadema tena kwa kutumia maandiko matakatifu ( kama shetani atumiavyo maandiko kurubuni watu wema), na hakuishia hapo akalilia mali za chama chake badala ya watu walio poteza maisha.
ndg zangu, sina nia ya kumsafisha Lowasa, ila nimemchukua kama sample kupima uelewa wa Makamba ambaye haishi vituko, je ametumia busara kwa nafasi yake kama katibu wa chama chake? TUMJADILI,
NAWAKILISHA MADA.
sio siri, kwa matukio aliyoyafanya huyu mzee hapo nyuma huwa simpendi yeye na wenzake wote waliohusika kutuletea mazingaobwe ya hasara kwa nchi yetu, weather direct or indirect.
nikirudi kwenye isu ya Arusha, nakumbuka msemo wa wa wahenga "myonge mnyongeni haki yake mpeni" Lowasa pamoja na mapungufu yake aliona mbali akatoa tahadhari kwa wakubwa wenzake kwamaba jamani tuzungumze Arusha ni kama meli iliyotoboka tuizibe mapema mana dhoruba yake ni kali.
akibuka mzee mmoja aliyezoea kukurupuka na kusema hovyo (sijui huwa anaota) akamkaripia vikali kigogog mwenzake huyo wa chama amabae angalau aligundua uozo uliofanyika kwamaba inabidi kusafishwa sio kupulizia pafume kwenye uchafu kama alivyofanya Makamba.
chakushangaza badala hata ya kuoana haya akaibuka teana baada ya tukio la Arusha kuwalaani Chadema tena kwa kutumia maandiko matakatifu ( kama shetani atumiavyo maandiko kurubuni watu wema), na hakuishia hapo akalilia mali za chama chake badala ya watu walio poteza maisha.
ndg zangu, sina nia ya kumsafisha Lowasa, ila nimemchukua kama sample kupima uelewa wa Makamba ambaye haishi vituko, je ametumia busara kwa nafasi yake kama katibu wa chama chake? TUMJADILI,
NAWAKILISHA MADA.