Simon Sirro uliwabipu majambazi, wamekupigia umebaki unahaha

data

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
26,032
22,556
Sirro IGP. Magufuli aliwahi kukwambia. Namnukuu.. " I wish I kudu bii IGP"...

Wki hizi mbili nimekaa nikiitafakari kauli ile ya Hayati. Alipo isema awali..wengi tulihisi amekudhalilisha...amekudharau na anaingilia mamlaka. Tulikuonea huruma.

Kumbe hukustahili kuonewa huruma hata kidogo. Ukiwa ktk kipindi cha dk 45 ITV na Farhia..

Ulisema hivi... " watanzania wawe na silaha majumbani mwao... Wajilinde. Na sio kuwa tu na masofa na maTV ndani"

Mtangazaji akakuuliza unamaanisha watu wachukue sheria mikononi... Ukajibu kwa kusisitiza... "kabisa kabisa"

Sasa unaona yanayotokea... Majamba sasa yanatuwahi.. Yao yana silaha za moto.. Sisi tuna mapanga. Umeona shida uliyotuletea.

Alafu umebaki una haha. Yani hujui nini ufanye. Alafu bado upo ofisini.!?

Rais Samia muondoe huyu mtu haraka.

"I wish I could be IGP" JPM..
 
Mtoa mada, kazi hii ni ngumu sana, kufikia hapa tulipo na kuweza kulala tulishukuru sana jeshi letu,Rate za ualifu ni ndogo mno kulinganisha na Kenya Uganda na nchi nyingine,kujenga mazingira ya kulinda watu 60ml, kwa idadi ya askari waliopo sio jambo la masihara,ndiyo maana sote tunatakiwa tulisaidie jeshi letu kwa kutoa taarifa za wahalifu.
N.B,NALIPONGEZA SANA JESHI LETU POLEPOLE TUTAFIKA KUTOKOMEZA WAHALIFU,LAKINI SI KUWAMALIZA MAANA KILA SIKU PIA WANAIBUKA WAPYA.
 
Unaandika hivyo huku ukijua utalala na jeshi la police wakikulinda ili uwe salama, toa Mbinu za kupambana na majambazi na sio kibeza kazi ngumu waitanyayo maasikari

Uwe na adabu kidogo, Wakati huohuo majambazi yakianza kuadabishwa unakimbilia hapa tena kusema majambazi eti yakamatwe yapelekwe mahakamani, utalikamataje jitu lenye siraha??

Mnalamaana bhana!!
 
Unaandika hivyo huku ukijua utalala na jeshi la police wakikulinda ili uwe salama, toa Mbinu za kupambana na majambazi na sio kibeza kazi ngumu waitanyayo maasikari

Uwe na adabu kidogo, Wakati huohuo majambazi yakianza kuadabishwa unakimbilia hapa tena kusema majambazi eti yakamatwe yapelekwe mahakamani, utalikamataje jitu lenye siraha??

Mnalamaana bhana!!
Maafande fanyeni kazi...acheni siasa. Alafu povu la nini!??
 
Ujambazi ni connection sidhani kama polisi hawawajui jambazi...
Nakubaliana nawe ujambazi ni koneksheni hakuna umalaika wa kuweza kuotea mtu Fulani ana fedha, lakini ni muhimu endapo kama unahusika na maswala ya kifedha ukatumia zaidi mitandao,pia wanaohusika na mitandao washushe rates za kutolea fedha,rates zinaumiza kweli kweli,
N.B-SEREKALI IHIMIZE MATUMIZI YA MITANDAO ZAIDI NA HABARI ZA KESHI MANE ZIONDOKE KABISA,ILI UKIKUTWA NA KESHI INAYOANZIA MILIONI MOJA NA UKAPORWA SHTAKA LIANZIE KWAKO BINAFSI KWA KUHATARISHA UHAI WAKO.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom