Sirro ndio aliambiwa hivyo na ni ile siku Gwajima Yuko pale central afu waumini wake wakaenda pale nje ya kituo cha police wakaimba nyimbo za dini usiku kucha.Ni Siro aliyeambiwa I wish I could be IGP au ni Ernest Mangu?
Kumbukumbu Zangu zinaniambia alikuwa Mangu, na baada ya muda mfupi tokea kauli hiyo, alipewa ubalozi Rwanda na ndipo Siro akapewa u-IGP.
Majambazi pia hayalaliMtoa mada, kazi hii ni ngumu sana, kufikia hapa tulipo na kuweza kulala tulishukuru sana jeshi letu,Rate za ualifu ni ndogo mno kulinganisha na Kenya Uganda na nchi nyingine,kujenga mazingira ya kulinda watu 60ml, kwa idadi ya askari waliopo sio jambo la masihara,ndiyo maana sote tunatakiwa tulisaidie jeshi letu kwa kutoa taarifa za wahalifu.
N.B,NALIPONGEZA SANA JESHI LETU POLEPOLE TUTAFIKA KUTOKOMEZA WAHALIFU,LAKINI SI KUWAMALIZA MAANA KILA SIKU PIA WANAIBUKA WAPYA.
Labda kama umeamua kubisha tu! Wakati huo sirro alikuwa kamanda kanda maalum dar, IGP alikuwa Ernest Mangu.Wrong..
Uko sahihiNi Siro aliyeambiwa I wish I could be IGP au ni Ernest Mangu?
Kumbukumbu Zangu zinaniambia alikuwa Mangu, na baada ya muda mfupi tokea kauli hiyo, alipewa ubalozi Rwanda na ndipo Siro akapewa u-IGP.
Kundi kubwa lá ndumila kuwili lipo kazini, Viongozi wenye kufanya kazi ya kuwandoa majambazi miogoni mwetu hamuwapendi kabisa.Sirro IGP. Magufuli aliwahi kukwambia. Namnukuu.. " I wish I kudu bii IGP"...
Wki hizi mbili nimekaa nikiitafakari kauli ile ya Hayati. Alipo isema awali..wengi tulihisi amekudhalilisha...amekudharau na anaingilia mamlaka. Tulikuonea huruma.
Kumbe hukustahili kuonewa huruma hata kidogo. Ukiwa ktk kipindi cha dk 45 ITV na Farhia..
Ulisema hivi... " watanzania wawe na silaha majumbani mwao... Wajilinde. Na sio kuwa tu na masofa na maTV ndani"
Mtangazaji akakuuliza unamaanisha watu wachukue sheria mikononi... Ukajibu kwa kusisitiza... "kabisa kabisa"
Sasa unaona yanayotokea... Majamba sasa yanatuwahi.. Yao yana silaha za moto.. Sisi tuna mapanga. Umeona shida uliyotuletea.
Alafu umebaki una haha. Yani hujui nini ufanye. Alafu bado upo ofisini.!?
Rais Samia muondoe huyu mtu haraka.
"I wish I could be IGP" JPM..
Wale waviroba sio majambazi ni wapinga jiweKundi kubwa lá ndumila kuwili lipo kazini, Viongozi wenye kufanya kazi ya kuwandoa majambazi miogoni mwetu hamuwapendi kabisa.
Na inapotokea majambazi yanatubipu yakishugulikiwa mnaanza kulalamika mitandaoni na kusema serikali inatupa viroba Coco beach.
Lazima ifike wakati tuamue ama tuwe salama ama majambazi yawe salama. Kwa suala la usalama, utulivu na amani mbali ya mapungufu yake mengi naanza kumkumbuka sana Magufuli.
Naamini wanaharakati ikitokea wameuwawa kwa idadi ya kutosha na majambazi tutakuwa wamoja kutaka majambazi yapotezwe hamna namna.
Bado muda kidogo tutaelewa na tuu kwa nini wasiotaka amani na utulivu wanatakiwa washambuliwe kama wanyama.
IGP SIRO nakupongeza unafanya vizuri wala usiyumbishwe na kelele ya mitandao endelea kupambana nayo maharifu umeyashika pabaya ndo maana yanakazana kusema jiuzuru usijari mti wenye matunda hupigwa mawe kazi iendelee yatasalender tu yanabipuSirro IGP. Magufuli aliwahi kukwambia. Namnukuu.. " I wish I kudu bii IGP"...
Wki hizi mbili nimekaa nikiitafakari kauli ile ya Hayati. Alipo isema awali..wengi tulihisi amekudhalilisha...amekudharau na anaingilia mamlaka. Tulikuonea huruma.
Kumbe hukustahili kuonewa huruma hata kidogo. Ukiwa ktk kipindi cha dk 45 ITV na Farhia..
Ulisema hivi... " watanzania wawe na silaha majumbani mwao... Wajilinde. Na sio kuwa tu na masofa na maTV ndani"
Mtangazaji akakuuliza unamaanisha watu wachukue sheria mikononi... Ukajibu kwa kusisitiza... "kabisa kabisa"
Sasa unaona yanayotokea... Majamba sasa yanatuwahi.. Yao yana silaha za moto.. Sisi tuna mapanga. Umeona shida uliyotuletea.
Alafu umebaki una haha. Yani hujui nini ufanye. Alafu bado upo ofisini.!?
Rais Samia muondoe huyu mtu haraka.
"I wish I could be IGP" JPM..
Yani hata mimi sijamwelewa IGP anatoa elimu ya kutusaidia kutokana na uwezo na uzoefu alio nao yeye anapinga na kudai ajiuzulu.Jeshi la polisi linajitahidi sana pamoja na changamoto za mazingira yaoSijakuelewa mkuu, IGP alisema kila mtu awe na silaha (bundukiau bastola) ndani kujilinda umemaindi halafu unasema wezi wanawawahi majumbani ninyi mna mapanga tu sasa tukueleweje?
Chukua bunduki ujilinde sio sofa hutaki, umevamiwa una panga tu la kujitetea unalalamika unatakaje?
Ni haki yako kisheria kumiliki bastola au bunduki kujilinda na pia sio dhambi?
70% Ya majambazi ni hao hao polisi....Mitandao ya majambazi inalindwa na Hao hao Polisi
Hujui kituSirro ndio aliambiwa hivyo na ni ile siku Gwajima Yuko pale central afu waumini wake wakaenda pale nje ya kituo cha police wakaimba nyimbo za dini usiku kucha.
Wewe ndio upo wrongWrong..
Sirro IGP. Magufuli aliwahi kukwambia. Namnukuu.. " I wish I kudu bii IGP"...
Wki hizi mbili nimekaa nikiitafakari kauli ile ya Hayati. Alipo isema awali..wengi tulihisi amekudhalilisha...amekudharau na anaingilia mamlaka. Tulikuonea huruma.
Kumbe hukustahili kuonewa huruma hata kidogo. Ukiwa ktk kipindi cha dk 45 ITV na Farhia..
Ulisema hivi... " watanzania wawe na silaha majumbani mwao... Wajilinde. Na sio kuwa tu na masofa na maTV ndani"
Mtangazaji akakuuliza unamaanisha watu wachukue sheria mikononi... Ukajibu kwa kusisitiza... "kabisa kabisa"
Sasa unaona yanayotokea... Majamba sasa yanatuwahi.. Yao yana silaha za moto.. Sisi tuna mapanga. Umeona shida uliyotuletea.
Alafu umebaki una haha. Yani hujui nini ufanye. Alafu bado upo ofisini.!?
Rais Samia muondoe huyu mtu haraka.
"I wish I could be IGP" JPM..