chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar, Simon Sirro amejibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kuwa huenda amehongwa fedha na wauza shisha ndio imemfanya kushindwa kudhibiti uvutaji wa shisha.
Kamanda Simon Sirro amesema si kweli mapambano hayo yamekufa, kuna watu wafanyabiashara na wauzaji wamekamatwa na majalada yao yamepelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
============
Matumizi ya shisha bado yanaendelea mtaani, hadi watu wakadhani kuwa imeruhusiwa, Makonda hakuwa sahihi kumtole shutma mbele ya hadhara lakini Sirro ameonyesha uzembe juu ya hili
Na pengine amepokea rushwa kweli, mwandishi alipaswa amhoji kuhusu matumizi yanayoendelea mtaani ni kuwa hawayaoni?
wananchi wakivuta shisha mtaani
Uzi wa marejeo
Wale waliopiga marufuku Shisha kwa mbwembwe waje watangaze hadharani kuwa wameiruhusu...
Kamanda Simon Sirro amesema si kweli mapambano hayo yamekufa, kuna watu wafanyabiashara na wauzaji wamekamatwa na majalada yao yamepelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
============
Matumizi ya shisha bado yanaendelea mtaani, hadi watu wakadhani kuwa imeruhusiwa, Makonda hakuwa sahihi kumtole shutma mbele ya hadhara lakini Sirro ameonyesha uzembe juu ya hili
Na pengine amepokea rushwa kweli, mwandishi alipaswa amhoji kuhusu matumizi yanayoendelea mtaani ni kuwa hawayaoni?
wananchi wakivuta shisha mtaani
Uzi wa marejeo
Wale waliopiga marufuku Shisha kwa mbwembwe waje watangaze hadharani kuwa wameiruhusu...