Simon Rwamugila(Omutwale): Nyerere alipewa u-Head Prefect akatuchanganya akili Tabora Boys

Mwalimu J K Nyerere alileta umoja wa kitaifa, ambapo hakumalizia ilitakiwa maraisi wengine wamalizie.

Ila kuna mabwanyenye wanajifanya kumkosoa kwa mlengo wa kumdharirisha,

bado tuna imani na falsafa zake nzuri, yale machache aliyokosea tunayarekebisha kwa kumpa heshima.

Mlitaka ubepari kwa mgongo wa demokrasia, mwalimu Nyerere akawaachia lakini ubepari nao umewashinda sasa hamjui mnaelekea wapi(hapa naongea na wasaliti wa Nchi hii).
kweli nadhani atakaye angalia mabaya tu ya Nyerere bila kuangalia mazuri hamtendei haki kabisa maana Nyerere alikuwa na haki kama wanadamu wengine tusimuweke katika level za malaika, lakin watu wanaangalia mapungufu yake tu bila kuangalia upande wa pili
 
Kumbe Nyerere michezo ya kubadili matokeo ya uchaguzi hajaanza Zanzibar.

"Msimamo wa Nyerere. Msimamo wa Nyerere. Ni kipaji cha mwenyezi Mungu baaba, kapewa tangia tumboni, kabla hajazaliwa"
Hahaah we jamaa bana
 
Huyo nae anataka jimbo la sugu 2020...so Nyerere principal can be applied
kule mbeya Tulia atapotea sana maana kwa wanambeya nao wameanza kuvuta bange kama arusha hawajui nani mwakilishi bora na ni nani mwakilishi fake
 
Tangu enzi za Idris Abdul Wakil.

Idris Abdul Wakil alipambanishwa na kivuli enzi zile kura za "Ndiyo/Siyo". Akashindwa (watu waliomkataa walikuwa wengi kuliko waliomkubali).Matokeoyakatoka, mpakawatu wa Daily News wakayaona.

Nyerere alivyopata habari, wakafanya sarakasi zaowakabadili ndiyo zikawa siyo na siyo zikawa ndiyo.

Watu waliokuwa Daily News kipindi hicho wanajua hizi habari.

Baadaye aliendeleza mchezo huohuo,Salmin Amour alikuwa anamletea kiburi sana Nyerere. Siku Salmin alivyoshindwa uchaguzi,alimpigia Nyerere magoti abadilishe matokeo, Nyerere akanyanyua simu akapiga simumoja tu matokeo yakabadilishwa.

Zamani nilivyokuwa naambiwa CCM wamebadili matokeo, nikawa naona kama ni propaganda za wapinzani, baadaye nikaja kukaa na mzee mmoja alikuwa mkubwa wa usalama, karibu sana na Nyerere, akasemamwenyewe walifanya michezohiyo sana, na wahenga wa Daily News wakanifumbua machokwamba michezoimechezwa Zanzibar tangu kabla ya vyama vingi kuanza, maana kule kulikuwa na mpasukowa Unguja/Pemba tangu kabla ya vyama vingi kuanza.
Dah poleni mwanangu ila hata pale bara, rough ni hizo hizo tu mkuu. Reference ni uchaguzi wa juzi. Matokeo kashinda cdm kiti anapewa ccm
 
Huyu jamaa alipatia sana katika kutuunganisha lakini msingi wa nchi alijenga mbovu hawa waliofuata hata wajitahidi nyumba bado itakuwa na matatizo,lakini sio mbaya kwa kuwa kila safari huanza kwa hatua moja.Ila kuna siku inabidi tuibomoe hii nyumba na tujenge upya.
Waliofuata ni wapiga dili tu mkuu. Tena bora hata mwinyi
 
Tangu enzi za Idris Abdul Wakil.

Idris Abdul Wakil alipambanishwa na kivuli enzi zile kura za "Ndiyo/Siyo". Akashindwa (watu waliomkataa walikuwa wengi kuliko waliomkubali).Matokeoyakatoka, mpakawatu wa Daily News wakayaona.

Nyerere alivyopata habari, wakafanya sarakasi zaowakabadili ndiyo zikawa siyo na siyo zikawa ndiyo.

Watu waliokuwa Daily News kipindi hicho wanajua hizi habari.

Baadaye aliendeleza mchezo huohuo,Salmin Amour alikuwa anamletea kiburi sana Nyerere. Siku Salmin alivyoshindwa uchaguzi,alimpigia Nyerere magoti abadilishe matokeo, Nyerere akanyanyua simu akapiga simumoja tu matokeo yakabadilishwa.

Zamani nilivyokuwa naambiwa CCM wamebadili matokeo, nikawa naona kama ni propaganda za wapinzani, baadaye nikaja kukaa na mzee mmoja alikuwa mkubwa wa usalama, karibu sana na Nyerere, akasemamwenyewe walifanya michezohiyo sana, na wahenga wa Daily News wakanifumbua machokwamba michezoimechezwa Zanzibar tangu kabla ya vyama vingi kuanza, maana kule kulikuwa na mpasukowa Unguja/Pemba tangu kabla ya vyama vingi kuanza.
Mkuu kwahiyo Idris alitangazwa mshindi? Unaandika kwa uchungu sana mkuu, ila poa IPO siku
 
Kumbe zamani Tabora boys walisoma wasichana pia, nashukuru kutolewa matongotongo ktk hili.
 
Tungeshukuru ungetuchotea mengi zaidi. Kaswali kadogo, wakati wa mwalimu Tabora Boys ilikua na wasichana?
Soma vizuri uzi ilikuwa haiitwi tabora boys, ni tabora school of government, bila shaka ilikiwa mchanganyiko, kabla ya kujengwa na tabora girls
 
Tangu enzi za Idris Abdul Wakil.

Idris Abdul Wakil alipambanishwa na kivuli enzi zile kura za "Ndiyo/Siyo". Akashindwa (watu waliomkataa walikuwa wengi kuliko waliomkubali).Matokeoyakatoka, mpakawatu wa Daily News wakayaona.

Nyerere alivyopata habari, wakafanya sarakasi zaowakabadili ndiyo zikawa siyo na siyo zikawa ndiyo.

Watu waliokuwa Daily News kipindi hicho wanajua hizi habari.

Baadaye aliendeleza mchezo huohuo,Salmin Amour alikuwa anamletea kiburi sana Nyerere. Siku Salmin alivyoshindwa uchaguzi,alimpigia Nyerere magoti abadilishe matokeo, Nyerere akanyanyua simu akapiga simumoja tu matokeo yakabadilishwa.

Zamani nilivyokuwa naambiwa CCM wamebadili matokeo, nikawa naona kama ni propaganda za wapinzani, baadaye nikaja kukaa na mzee mmoja alikuwa mkubwa wa usalama, karibu sana na Nyerere, akasemamwenyewe walifanya michezohiyo sana, na wahenga wa Daily News wakanifumbua machokwamba michezoimechezwa Zanzibar tangu kabla ya vyama vingi kuanza, maana kule kulikuwa na mpasukowa Unguja/Pemba tangu kabla ya vyama vingi kuanza.
Hao hao tume wanasema baadae kama sasa mnavyotuambia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom