Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 597
- 1,278
Taka takaMimi pia Ni Simba damu Ila acha chama aende yanga Kama ameridhia mwenyewe mbona hata sisi tulimchukua Morrison ingawa wenzetu Hadi leo hiki kitu kinawauma sana.
Pia ntakuwa mtu wa mwisho kuamini et uongozi wa Simba upo smart ,kitu ambacho si kweli Zaid wamejaa ujanja ujanja tu.
Unawezaje kumuuza chama na Luis kwa wakat mmoja alafu huku ukijua unataka kufika mbali Zaid kisoka? Kibaya Zaid unatamba et pesa ipo ,Kama pesa ipo kipi kiliwafanya muwauze key prayers wawil km sio ujanja ujanja tu na mbaya Zaid mmeuza watu ambao wanatamaniwa Sana na watan zetu .na naomba Sana chama atue yanga ili tujue uhuni wa viongoz wa Simba ulipojificha.
Pia swala la Simba kufanya umafia kwa Aucho hicho kitu hakiwezekan kamwe ,yanga wamejipanga Sana na wako Makin tokea swala la Morrison litokee hawawez fanya uzembe Mara ya pili.
Mtu mwingine anayeharibu mipango Ni Mo mwenyewe kwa kupenda Sana mitandao ,sijui aliwaza nn siku Ile kumwambia namna ile chama ,bahat nzuri chama hakumjibu kitu so Ile kitu nadhan bado ipo moyon mwa chama na hata ungekuwa Ni wewe huwez rudia kufanya kazi na tajir mswahil Kama mo.kibaya Zaid manara yupo close na chama na manara hawaiv na mo ,hapa manara anayofaida ya kuwashawish mabos wake kuwa wotoe dau lolote lengo kiwaumiza Simba pia anayo nafas ya kumshawish chama kwa namna yoyote ile.
Hata mm roho imegoma eti chama atarud Simba ,hicho kitu hakipo kabisa.wajinga waendelee kuamin Ila mm hapana kabisa hii ngoma tushazidiwa huo ndio ukweli.
Iman yangu chama atatua yanga Ila hatakuwa chama yule wa Simba ,niamin mm,maana Simba wanamjua nje ndani ,refer Morrison akikutana na yanga anakuwa Hana maajabu Sana ndivyo hata kwa chama itakuwa Ivo ,Ila atawasaidia pale atakapokutana na timu zingine na had kupelekea kubeba ubingwa maana Ni master wa kutoa assist zenye macho .
Simba itafute namba 10 machachari nje ya chama na huyo aucho huo ndio ukubwa Sasa ,kuweweseka kwa mtu ambaye ushamtumia Ni utoto ,haya mambo waachie yanga na timu zingine pia Simba itafute mshambuliaje machachari kaliba ya Moses phiri yule wa Zambia wakifanya usajili wa nguvu kwa huzo namba mbili tu hakuna wakumgusa Simba na Simba ataendelea kutawala mpira wa bongo maana beki Sina wasisi, viungo wa chini Sina tatizo ,winger wapo wa maana tu swala Ni 10 na 9 hapo ndio pakutibu tu.
Simba waache siasa Kama kweli wapo serious tofaut na hapo hawatakuwa na utofaut na yanga wazee wa matukio .propaganda wachane nazo kabisa ,km swala haliwezekan wawambie mashabik ukwel km linawezekana pia wasema Ila sio uongo uongo maana mbele ya safar wataua uamini kabisa kwa wanachama na wapenz wa simba na uongo Ni LAANA mbaya Sana.
Pia waache kushindana na manara maana yule Ni mlemavu pia Ana igo so anajifichia kwenye uzeru zeru wake kuwapanikisha na mnavyohangaika nae kwake ndio kete ya ushindi .
Kuzima Kiki ya manara ilipaswa viongoz wa Simba Waite press kuwa hatuna shida na mchezaj tulie wahi mtumia tuliona hatufai ndio maana tulimuuza hivyo Kama Kuna club inamhitaj ikamsajir maana tayal mazingira yamemshinda huko.