Simkubali Haji Manara na ana Matatizo yake, ila kwa hili la Clatous Chama namuamini 100% na wana Simba SC tusidanganywe na Uongozi wetu

Mimi pia Ni Simba damu Ila acha chama aende yanga Kama ameridhia mwenyewe mbona hata sisi tulimchukua Morrison ingawa wenzetu Hadi leo hiki kitu kinawauma sana.

Pia ntakuwa mtu wa mwisho kuamini et uongozi wa Simba upo smart ,kitu ambacho si kweli Zaid wamejaa ujanja ujanja tu.
Unawezaje kumuuza chama na Luis kwa wakat mmoja alafu huku ukijua unataka kufika mbali Zaid kisoka? Kibaya Zaid unatamba et pesa ipo ,Kama pesa ipo kipi kiliwafanya muwauze key prayers wawil km sio ujanja ujanja tu na mbaya Zaid mmeuza watu ambao wanatamaniwa Sana na watan zetu .na naomba Sana chama atue yanga ili tujue uhuni wa viongoz wa Simba ulipojificha.

Pia swala la Simba kufanya umafia kwa Aucho hicho kitu hakiwezekan kamwe ,yanga wamejipanga Sana na wako Makin tokea swala la Morrison litokee hawawez fanya uzembe Mara ya pili.

Mtu mwingine anayeharibu mipango Ni Mo mwenyewe kwa kupenda Sana mitandao ,sijui aliwaza nn siku Ile kumwambia namna ile chama ,bahat nzuri chama hakumjibu kitu so Ile kitu nadhan bado ipo moyon mwa chama na hata ungekuwa Ni wewe huwez rudia kufanya kazi na tajir mswahil Kama mo.kibaya Zaid manara yupo close na chama na manara hawaiv na mo ,hapa manara anayofaida ya kuwashawish mabos wake kuwa wotoe dau lolote lengo kiwaumiza Simba pia anayo nafas ya kumshawish chama kwa namna yoyote ile.

Hata mm roho imegoma eti chama atarud Simba ,hicho kitu hakipo kabisa.wajinga waendelee kuamin Ila mm hapana kabisa hii ngoma tushazidiwa huo ndio ukweli.

Iman yangu chama atatua yanga Ila hatakuwa chama yule wa Simba ,niamin mm,maana Simba wanamjua nje ndani ,refer Morrison akikutana na yanga anakuwa Hana maajabu Sana ndivyo hata kwa chama itakuwa Ivo ,Ila atawasaidia pale atakapokutana na timu zingine na had kupelekea kubeba ubingwa maana Ni master wa kutoa assist zenye macho .

Simba itafute namba 10 machachari nje ya chama na huyo aucho huo ndio ukubwa Sasa ,kuweweseka kwa mtu ambaye ushamtumia Ni utoto ,haya mambo waachie yanga na timu zingine pia Simba itafute mshambuliaje machachari kaliba ya Moses phiri yule wa Zambia wakifanya usajili wa nguvu kwa huzo namba mbili tu hakuna wakumgusa Simba na Simba ataendelea kutawala mpira wa bongo maana beki Sina wasisi, viungo wa chini Sina tatizo ,winger wapo wa maana tu swala Ni 10 na 9 hapo ndio pakutibu tu.

Simba waache siasa Kama kweli wapo serious tofaut na hapo hawatakuwa na utofaut na yanga wazee wa matukio .propaganda wachane nazo kabisa ,km swala haliwezekan wawambie mashabik ukwel km linawezekana pia wasema Ila sio uongo uongo maana mbele ya safar wataua uamini kabisa kwa wanachama na wapenz wa simba na uongo Ni LAANA mbaya Sana.

Pia waache kushindana na manara maana yule Ni mlemavu pia Ana igo so anajifichia kwenye uzeru zeru wake kuwapanikisha na mnavyohangaika nae kwake ndio kete ya ushindi .
Kuzima Kiki ya manara ilipaswa viongoz wa Simba Waite press kuwa hatuna shida na mchezaj tulie wahi mtumia tuliona hatufai ndio maana tulimuuza hivyo Kama Kuna club inamhitaj ikamsajir maana tayal mazingira yamemshinda huko.
Taka taka
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
Simba walishapiga pesa nyingi kwa chama, hata akirudi yanga sizani kama ataweza kuoffer alivyovitoa kwa simba, yanga nao sio wa kuwaamini maana kwa morison wamedondokea pua
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
Who is Chama? Aende yanga tuu, utashangaa uwanjani yup kama Makambo tuu, hiyo nenda rudi ni nuksi, hata ulaya tushaona saana!
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
Chama hamzidi Ajibu kwa chochote kile, kipimo cha maisha ya mpira Yanga ni mdundiko, acha wacheze waambulie gono.
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
Mkulu hata Mimi machale ya mgonggoni yananicheza....Viongozi was Simba Jana walikosa weledi kipropaganda!
Chama ni sisimIzi hakutakiwa kiongelewa hivo!
NGoja tuone!
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
Chama hamzidi Ajibu kwa chochote kile, kipimo cha maisha ya mpira Yanga ni mdundiko, acha wacheze waambulie gono.
 
Nitakuwa wa mwisho kuiamini 'Propaganda' hii ambayo nahisi imetolewa sasa ili tu kushusha Presha Klabuni Simba.
Mashabiki bana kama watoto tu. Chama alishauzwa morocco,arudi simba ama timu nyingine sasa hilo liwe povu la nini..

Tukubali tu kuwa chama sio wetu kwa sasa. Timu inasonga pia.

Kwani chama yeye ndiye bora zaidi.
Leo yanga wanamuimba Aucho na Mayele kama miungu wao.

Tujifunze kwa Makambo,yanga waliona wamepata dawa,ona kilichotokea. Mayele ndo amekuwa mwamba kwao ingawa ana golin2.

Leo chama anaweza akarudi asifikie kiwango chake mtaanza kumtukana tena.

Binafsi zama za chama zimeshapita,si lazimishi aje.
 
Mimi pia Ni Simba damu Ila acha chama aende yanga Kama ameridhia mwenyewe mbona hata sisi tulimchukua Morrison ingawa wenzetu Hadi leo hiki kitu kinawauma sana.

Pia ntakuwa mtu wa mwisho kuamini et uongozi wa Simba upo smart ,kitu ambacho si kweli Zaid wamejaa ujanja ujanja tu.
Unawezaje kumuuza chama na Luis kwa wakat mmoja alafu huku ukijua unataka kufika mbali Zaid kisoka? Kibaya Zaid unatamba et pesa ipo ,Kama pesa ipo kipi kiliwafanya muwauze key prayers wawil km sio ujanja ujanja tu na mbaya Zaid mmeuza watu ambao wanatamaniwa Sana na watan zetu .na naomba Sana chama atue yanga ili tujue uhuni wa viongoz wa Simba ulipojificha.

Pia swala la Simba kufanya umafia kwa Aucho hicho kitu hakiwezekan kamwe ,yanga wamejipanga Sana na wako Makin tokea swala la Morrison litokee hawawez fanya uzembe Mara ya pili.

Mtu mwingine anayeharibu mipango Ni Mo mwenyewe kwa kupenda Sana mitandao ,sijui aliwaza nn siku Ile kumwambia namna ile chama ,bahat nzuri chama hakumjibu kitu so Ile kitu nadhan bado ipo moyon mwa chama na hata ungekuwa Ni wewe huwez rudia kufanya kazi na tajir mswahil Kama mo.kibaya Zaid manara yupo close na chama na manara hawaiv na mo ,hapa manara anayofaida ya kuwashawish mabos wake kuwa wotoe dau lolote lengo kiwaumiza Simba pia anayo nafas ya kumshawish chama kwa namna yoyote ile.

Hata mm roho imegoma eti chama atarud Simba ,hicho kitu hakipo kabisa.wajinga waendelee kuamin Ila mm hapana kabisa hii ngoma tushazidiwa huo ndio ukweli.

Iman yangu chama atatua yanga Ila hatakuwa chama yule wa Simba ,niamin mm,maana Simba wanamjua nje ndani ,refer Morrison akikutana na yanga anakuwa Hana maajabu Sana ndivyo hata kwa chama itakuwa Ivo ,Ila atawasaidia pale atakapokutana na timu zingine na had kupelekea kubeba ubingwa maana Ni master wa kutoa assist zenye macho .

Simba itafute namba 10 machachari nje ya chama na huyo aucho huo ndio ukubwa Sasa ,kuweweseka kwa mtu ambaye ushamtumia Ni utoto ,haya mambo waachie yanga na timu zingine pia Simba itafute mshambuliaje machachari kaliba ya Moses phiri yule wa Zambia wakifanya usajili wa nguvu kwa huzo namba mbili tu hakuna wakumgusa Simba na Simba ataendelea kutawala mpira wa bongo maana beki Sina wasisi, viungo wa chini Sina tatizo ,winger wapo wa maana tu swala Ni 10 na 9 hapo ndio pakutibu tu.

Simba waache siasa Kama kweli wapo serious tofaut na hapo hawatakuwa na utofaut na yanga wazee wa matukio .propaganda wachane nazo kabisa ,km swala haliwezekan wawambie mashabik ukwel km linawezekana pia wasema Ila sio uongo uongo maana mbele ya safar wataua uamini kabisa kwa wanachama na wapenz wa simba na uongo Ni LAANA mbaya Sana.

Pia waache kushindana na manara maana yule Ni mlemavu pia Ana igo so anajifichia kwenye uzeru zeru wake kuwapanikisha na mnavyohangaika nae kwake ndio kete ya ushindi .
Kuzima Kiki ya manara ilipaswa viongoz wa Simba Waite press kuwa hatuna shida na mchezaj tulie wahi mtumia tuliona hatufai ndio maana tulimuuza hivyo Kama Kuna club inamhitaj ikamsajir maana tayal mazingira yamemshinda huko.
Sawa Haji Manara chombo ya Mzee Tozi

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
😂😂 ukiambiwa ilikuwa ni propaganda ya kuzima kubebwa kwa Yanga,dhidi ya Namungo utabisha!! Amini kuwa hilo jambo halipo. Na tutegemee propaganda kibao kuzima suala la Morrison pia.
 
Tukiachana na ushabiki ni mara chache sana mchezaji kuichezea team kwa mafanikio kisha akahama afu akarudi kwa mafanikio yale yale

Kwa kifupi ccc akirudi Simba inaweza kuwa ndo kiama chake zigo la lawama atarushiwa yeye kwa vile aliaminika sana kwa mashabiki na wanachama
 
Back
Top Bottom