Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,004
Babu Yanga propaganda anapiga manara while huko mkiani mwenyekiti wa bodi na ceo ndio wamekua propagandist na wakati huo huo wakijinasibu washatoka huko,mtu anakuambia awaendeshi timu yao kwa propaganda hlf hapo hapo anawadanganya wanachama issue ya kumrudisha chama na kumfunga YangaVyovyote itakavyokuwa,.SIMBA inahitaji kutulia na kufanya mipango yake kisayansi.
Iachane na style ya YANGA ( Manara ) ..ni sawa na pressure ya soda.
Sioni YANGA ya kisasa zaidi ya propaganda na soka mitandao. Wanadanganyika na matokeo ya mechi hizi za mwanzo kwamba wako vizuri
.Kumbuka Manara anajaribu kufanya kila analoweza ili kumuumiza MO ..Na ndivyo anavyoshawishi hivyo menejimenti ya YANGA iende kwa mawazo yake,. kinachomuumiza Manara ni MO wala si SIMBA...akiwa pekee yake ana rangi Nyekundu, akija public ni Kijani...Acha amshawishi CHAMA wa 2019/20 2020/21.
Simba ina falsafa yake, fans wake. Ni wakati wa kumpa full support MO...kumuunga mkono. This guy is Simba.
Simba ni kambi kubwa yenye watu wenye BRAINS..Ni wakati wa kuonyesha msuli wenu