Simkubali Haji Manara na ana Matatizo yake, ila kwa hili la Clatous Chama namuamini 100% na wana Simba SC tusidanganywe na Uongozi wetu

Vyovyote itakavyokuwa,.SIMBA inahitaji kutulia na kufanya mipango yake kisayansi.
Iachane na style ya YANGA ( Manara ) ..ni sawa na pressure ya soda.

Sioni YANGA ya kisasa zaidi ya propaganda na soka mitandao. Wanadanganyika na matokeo ya mechi hizi za mwanzo kwamba wako vizuri
.Kumbuka Manara anajaribu kufanya kila analoweza ili kumuumiza MO ..Na ndivyo anavyoshawishi hivyo menejimenti ya YANGA iende kwa mawazo yake,. kinachomuumiza Manara ni MO wala si SIMBA...akiwa pekee yake ana rangi Nyekundu, akija public ni Kijani...Acha amshawishi CHAMA wa 2019/20 2020/21.
Simba ina falsafa yake, fans wake. Ni wakati wa kumpa full support MO...kumuunga mkono. This guy is Simba.

Simba ni kambi kubwa yenye watu wenye BRAINS..Ni wakati wa kuonyesha msuli wenu
Babu Yanga propaganda anapiga manara while huko mkiani mwenyekiti wa bodi na ceo ndio wamekua propagandist na wakati huo huo wakijinasibu washatoka huko,mtu anakuambia awaendeshi timu yao kwa propaganda hlf hapo hapo anawadanganya wanachama issue ya kumrudisha chama na kumfunga Yanga
 
Kwa nguvu ya mpunga na mipango komoa wala sitoshangaa kwetu Yanga kumkosa Aucho na Bangala baada ya kukimbilia SIMBA na pia sitoshangazwa kwa Chama kuja mtaa wa Twiga na Jangwani.......

Muda ni mwalimu mzuri.....

#DaimaMbeleNyumaMwiko
Aucho na bangala wanaondokaje Yanga?
 
Mi ninachojua Morison kashinda kesi na propaganda zote hizi za chama, sijui aucho kwenda uganda halafu utopolo wamrudishe, sijui kudhamini ligi zote hizi ni propaganda tu za kuzima machungu ya Morison mi nawakumbusha tu Morison KASHINDA
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
Unajipa presha za bure kabisa ndugu yangu....na yanga wanapenda watu kama nyie...

Yanga hawana huo uwezo,na wanawadanganya hadi mashabiki wao lengo kuu kupooza issue za Morrison,

Pia ukae ukijua chama kwa sasa sio yule wa Simba,

Nitakua wa mwisho kuaamini hili.
 
Hivi tatizo liko wapi Chama kwenda Yanga? kwamba akienda Yanga Simba itakuwa sio timu ya mpira wa miguu tena? kwahiyo unataka kusema malengo ya timu kwa msimu huu kayabeba Chama!? kama hivyo mbona aliuzwa? Chama kabla ya kuja Simba ulikuwa unamjua? Kama ndio,Simba ilikuepo au haikuepo?

Anyway,Chama anategemea kuendesha maisha yake kupitia mpira hivyo anaweza kwenda popote ambapo atapata ridhiki,pia Simba kama timu ya mpira wa miguu imekuwepo kabla ya Chama na bado ipo na itaendelea kuwepo.
Well said kudos
 
Mimi pia Ni Simba damu Ila acha chama aende yanga Kama ameridhia mwenyewe mbona hata sisi tulimchukua Morrison ingawa wenzetu Hadi leo hiki kitu kinawauma sana.

Pia ntakuwa mtu wa mwisho kuamini et uongozi wa Simba upo smart ,kitu ambacho si kweli Zaid wamejaa ujanja ujanja tu.
Unawezaje kumuuza chama na Luis kwa wakat mmoja alafu huku ukijua unataka kufika mbali Zaid kisoka? Kibaya Zaid unatamba et pesa ipo ,Kama pesa ipo kipi kiliwafanya muwauze key prayers wawil km sio ujanja ujanja tu na mbaya Zaid mmeuza watu ambao wanatamaniwa Sana na watan zetu .na naomba Sana chama atue yanga ili tujue uhuni wa viongoz wa Simba ulipojificha.

Pia swala la Simba kufanya umafia kwa Aucho hicho kitu hakiwezekan kamwe ,yanga wamejipanga Sana na wako Makin tokea swala la Morrison litokee hawawez fanya uzembe Mara ya pili.

Mtu mwingine anayeharibu mipango Ni Mo mwenyewe kwa kupenda Sana mitandao ,sijui aliwaza nn siku Ile kumwambia namna ile chama ,bahat nzuri chama hakumjibu kitu so Ile kitu nadhan bado ipo moyon mwa chama na hata ungekuwa Ni wewe huwez rudia kufanya kazi na tajir mswahil Kama mo.kibaya Zaid manara yupo close na chama na manara hawaiv na mo ,hapa manara anayofaida ya kuwashawish mabos wake kuwa wotoe dau lolote lengo kiwaumiza Simba pia anayo nafas ya kumshawish chama kwa namna yoyote ile.

Hata mm roho imegoma eti chama atarud Simba ,hicho kitu hakipo kabisa.wajinga waendelee kuamin Ila mm hapana kabisa hii ngoma tushazidiwa huo ndio ukweli.

Iman yangu chama atatua yanga Ila hatakuwa chama yule wa Simba ,niamin mm,maana Simba wanamjua nje ndani ,refer Morrison akikutana na yanga anakuwa Hana maajabu Sana ndivyo hata kwa chama itakuwa Ivo ,Ila atawasaidia pale atakapokutana na timu zingine na had kupelekea kubeba ubingwa maana Ni master wa kutoa assist zenye macho .

Simba itafute namba 10 machachari nje ya chama na huyo aucho huo ndio ukubwa Sasa ,kuweweseka kwa mtu ambaye ushamtumia Ni utoto ,haya mambo waachie yanga na timu zingine pia Simba itafute mshambuliaje machachari kaliba ya Moses phiri yule wa Zambia wakifanya usajili wa nguvu kwa huzo namba mbili tu hakuna wakumgusa Simba na Simba ataendelea kutawala mpira wa bongo maana beki Sina wasisi, viungo wa chini Sina tatizo ,winger wapo wa maana tu swala Ni 10 na 9 hapo ndio pakutibu tu.

Simba waache siasa Kama kweli wapo serious tofaut na hapo hawatakuwa na utofaut na yanga wazee wa matukio .propaganda wachane nazo kabisa ,km swala haliwezekan wawambie mashabik ukwel km linawezekana pia wasema Ila sio uongo uongo maana mbele ya safar wataua uamini kabisa kwa wanachama na wapenz wa simba na uongo Ni LAANA mbaya Sana.

Pia waache kushindana na manara maana yule Ni mlemavu pia Ana igo so anajifichia kwenye uzeru zeru wake kuwapanikisha na mnavyohangaika nae kwake ndio kete ya ushindi .
Kuzima Kiki ya manara ilipaswa viongoz wa Simba Waite press kuwa hatuna shida na mchezaj tulie wahi mtumia tuliona hatufai ndio maana tulimuuza hivyo Kama Kuna club inamhitaj ikamsajir maana tayal mazingira yamemshinda huko.
Sijui leo una maoni gani?
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
Pumbavu,una id nyingi mpaka unazisahau
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
GENTAMYCINE unaugua kichaa ila unabisha kila siku
 
Nakumbuka KEROZENE nilipochangia Uzi wakati Chama alipouzwa nilisema hapa hapa kuwa ile ilikuwa ni Gia tu, ila muda mchache atarudi Tanzania na Kutua Yanga SC.

Kuna sababu Kuu Nne ambazo niliziona wakati nachangia huo Uzi kuwa Chama atatua Yanga SC moja ikiwa ni ukaribu wake na Ridhiwani Kikwete, Haji Manara Mwenyewe, Familia ya Rais Mstaafu Kikwete na Kutoelewana Kwake na Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji.

Sijui ni kwanini wana Simba SC wenzangu leo tunakubali Kudanganywa na Uongozi wetu kuwa Chama ana Vipengele vinavyomzuia Kutua Yanga SC wakati kwa Ushahidi uliopo CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez aliweka wazi juu ya hilo kwa Mchezaji Luis Jose Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.

Achilia mbali yote haya ila kama ukiwa Mfuasi ( Follower ) wa Mchezaji Clatous Chota Chama ( hasa Instagram ) kwa jinsi ambavyo huwa 'anakomenti' hasa kwa 'Kejeli' na 'Dharau' pindi Simba SC ilipofungwa na Yanga SC Ngao ya Hisani, ilipofungwa na Jwaneng Galaxy katika Kombe la Klabu Bingwa Afrika na ilivyotoka Sare katika Mechi zake za mwanzo katika NBC Premier League huwezi si tu Kuamini bali hata Kukubali kuwa anarejea / atarejea Simba SC yetu.

KEROZENE nauheshimu sana Uongozi wangu wa Simba SC na naipenda mno Klabu yangu ya Simba SC ila kwa hili la Chama kurejea Simba SC au ana Vipengele vya Kumzuia kutua Yanga SC nalikataa na nasema ni Uwongo wa Mchana kweupe na sijui kwanini Wametudanganya na kwamba ikitokea kweli akatua Yanga SC watatueleza nini.

Counter pekee ambayo Simba SC wanaweza Kuifanya kwa haraka ili Kujiweka salama ni wao pia kufanya 'Umafia' wa Kumsajili Kiungo Khalid Aucho ( ambaye ndiyo Roho ya Yanga SC ) kwa sasa au Kusajili Wachezaji Mahiri zaidi ya Aucho na Bangala na siyo hizi 'porojo' zao wanazotupa na bahati mbaya Mashabiki wengi wa Simba SC wanaamini / wanawaamini.

Kwa Chama kuja tena Simba SC tusahau.
Huu uzi umekuumbua mkuu, umetufanya watu waJf tukuone na wewe ni mmoja Kati ya mawatu maongo Sana hapa.
 
Back
Top Bottom