Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza alikuwa na kibali cha Tamisemi kwenda kuzunguka Simiyu ?
 
Ni ushauri tu kwa Waziri mpya wa Habari mh Nape Nnauye.

Hii ajali ni mbaya sana na bila kumung'unya maneno chanzo chake mwendokasi wa gari la serikali.

Ni hayo tu!
 
R.I.P waandishi wetu pamoja na wananchi wengine waliopoteza maisha kwenye ajali hii. Mungu awape wepesi wa kupona haraka majeruhi.
 
Serikali ije na mpango wa kuzifanya barabara zote double roads
 
Protocol ya Speed kwa misafara ya viongozi wa umma iangaliwe upya...la sivyo tutazidi kuzikana.

Barabara zetu si rafiki kwa speed zaidi ya 80km per hour...jamaa wanakwenda hadi 160kmph.
 
Kwanza naomba niungane na Watanzania wenzangu kutoa salamu za rambi rambi hakika vifo vya wanahabari hawa na wananchi wengine ingawa sijashuhudia wananchi wa kawaida wakiagwa ni pigo kwa Taifa.

Nikili hakika nimeumia Sanaa maana waliokufa ni age mate wangu.

Sambamba na vifo hivyo ni muhimu tujiulize ukweli hawa wanahabari walikuwa wakifata msafara wa mkuu wa Mkoa nyuma analipokuwa akienda kukagua miladi mlikuwa tayari kwenda kuusema ukweli ambao ungeweza muuzi mkuu wa Mkoa mpaka akawashussha kwenye gari zilizokuwa mwenye msafara wake?

Au mmekufa mkiwa tayari mmezamilia kwenda kuulagai umma wa Watanzania dhidi ya miradi ya ajabu inayoendelea kulutafuna Taifa letu?
Swali Ili naomba lijibiwe na vyombo vyenye mamlaka baada ya kuchunguza miradi hiyo.
 
Kwanza naomba niungane na Watanzania wenzangu kutoa salamu za rambi rambi hakika vifo vya wanahabari hawa na wananchi wengine ingawa sijashuhudia wananchi wa kawaida wakiagwa ni pigo kwa Taifa.

Nikili hakika nimeumia Sanaa maana waliokufa ni age mate wangu.

Sambamba na vifo hivyo ni muhimu tujiulize ukweli hawa wanahabari walikuwa wakifata msafara wa mkuu wa Mkoa nyuma analipokuwa akienda kukagua miladi mlikuwa tayari kwenda kuusema ukweli ambao ungeweza muuzi mkuu wa Mkoa mpaka akawashussha kwenye gari zilizokuwa mwenye msafara wake?

Au mmekufa mkiwa tayari mmezamilia kwenda kuulagai umma wa Watanzania dhidi ya miradi ya ajabu inayoendelea kulutafuna Taifa letu?
Swali Ili naomba lijibiwe na vyombo vyenye mamlaka baada ya kuchunguza miradi hiyo.
Sioni kama ni kosa wao kupanda hilo gari, hiyo haikua ziara ya kampeni bali kukagua ujenzi wa madarasa, hakukua na la kuficha hapo.
 
Hii story inafanana na ile ya wanahabari wa Tanga japo tofauti ipo kwa hawa wamefariki kwa ajali ila wale walipanda hizo gari kwenda kuripoti huku wanapewa mlungula!.

Kubebwa na mtoa habari si sababu ya kukufanya ushindwe kuwa mkweli, njaa kwa waandishi ni tatizo.
 
Alikuwa anenda Ukerewe iliyoko ndani ya mkoa wake lakini ili afike huko analazimika kupitia mikoa miwili ya Simiyu na Mara kwa njia ya kivuko cha Kisorya badala ya kivuko cha Mwanza Nansio/Ukara...
Niko hapa Mwanza na sioni kwa nini Mkuu wa mkoa aliamua kuzunguka njia ndefu kiasi hicho wakati kila siku kuna magari yanayovuka kwa njia ya meli na kuingia ukerewe. Wewe unaandika mambo ambayo hayana uhusiano wowote.

Kama una hamu sana ya kuwa mkoa wa Mara, hamia! Hii ni ajali ya kizembe tu, ina uhusiano gani na Ukerewe kuwa mkoa wa Mwanza? Wangapi wamepata ajali wakienda Dodoma, ndo tusemeje?

Tatua tatizo la uzembe, siyo mpaka wa hapa na pale. Kama hujui historia ya mgawanyo wa mikoa na Wilaya kaa kimya au hama mkoa.
 
Back
Top Bottom