Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Msingi Shimbale Gaudensia Anyango (45) kwa tuhuma za kufanya udanganyifu wa mitihani ya Darasa la 4 kwa kuwachukua wanafunzi wa darasa 5 na 6 kwa ajili ya kuwafanyia mitihani wanafunzi wenzao 23 ambao ni watoro
"Niwatake Watumishi wote wanaohusika na usimamizi wa mitihani ya kidato cha 2 na cha 4 kuacha vitendo vyovyote vya udanganifu wa mitihani kwani Kamati ya mitihani ya Wilaya na Mkoa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi halitafumbia macho suala hilo" Shadrack Masiji Kaimu RPC Simiyu
"Niwatake Watumishi wote wanaohusika na usimamizi wa mitihani ya kidato cha 2 na cha 4 kuacha vitendo vyovyote vya udanganifu wa mitihani kwani Kamati ya mitihani ya Wilaya na Mkoa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi halitafumbia macho suala hilo" Shadrack Masiji Kaimu RPC Simiyu