Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Hahah,,Yeah ndoivo manKumbe Adekunle ndio 'Joromi'!!
Hahah,,Yeah ndoivo manKumbe Adekunle ndio 'Joromi'!!
High pitch waga ana'fit sana,,sidhani kama akiimba low pitch itakua yechu.Ni kweli ila mi sipendi anaimba sauti ya juu sana, huenda mimi tu!
Ashasifiwa ana sauti, basi kwangu ni kelele tu.... huwezi kusikiliza usiku kwa utulivu nyimbo za Rubi.
Eti Kuna watu wanataka mfananisha na zuchuSimi is another level.
Natamani siku moja mwana dada zuchu nandi maua sama wafikie levels za simi
Hao ni ushabik maandazi. Simi ni kwavile alizaliwa africa tuu angekuwa mbele huko sijui