nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 654
- 523
Hivi kwa mfano umepata chance ya kupata line ya muheshimiwa utafanya nini cha kwanza?....mimi nitaangalia kwanza salio la mpesa,najua atakuwa ametumia mwaka wake wa kuzaliwa,na hana muda wa kubadilisha coz yupo busy sana,JE MWENZANGU UNGEKIMBILIA KUANGALIA NIN?..mimi kingefuata text nione nani ni _puko,nani ni _sadi, nk