SimbaSC Mabingwa wa Kwanza wa Kombe la Urafiki 2012-13

adakiss23

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
4,468
4,240
SimbaSC imekuwa klabu ya kwanza kunyakua kombe la urafiki baada ya kuibanjua AzamFC kwa Penati 3_1 baada ya kutoka 2_2 ktk muda wa kawaida. Shujaa wa Simba alikuwa nahodha Juma Kaseja baada kufuta penati 2 za Azam huku moja ikiota mbawa. Ni mwanzo mzuri kabla ya kombe ya Kagame kuanza kwani itakuwa imeongeza morali ya wachezaji 'imetia ndimu' kama watoto wa mjini wanavyosema. Viva Mnyama Viva Prof Milovan..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
SimbaSC imekuwa klabu ya kwanza kunyakua kombe la urafiki baada ya kuibanjua AzamFC kwa Penati 3_1 baada ya kutoka 2_2 ktk muda wa kawaida. Shujaa wa Simba alikuwa nahodha Juma Kaseja baada kufuta penati 2 za Azam huku moja ikiota mbawa. Ni mwanzo mzuri kabla ya kombe ya Kagame kuanza kwani itakuwa imeongeza morali ya wachezaji 'imetia ndimu' kama watoto wa mjini wanavyosema. Viva Mnyama Viva Prof Milovan..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

1. Hapo kwenye red sentensi hiyo itakuwa na mantiki tu endapo ZFA watakuwa wana'run short of fund kila mwaka na kuendelea na technique hiyo ya kutafuta fedha kwa kuandaa Kombe mbuzi na kuzialika team kubwa ie Yanga,Simba na Azam ili wapige hela kama walivyopiga this time...lkn kama mipango ya Rais mpya wa ZFA itakuwa endelevu na kuifanya ZFA kuwa na uwezo wa kusimama vizuri utaweza kuiita Simba kama mabingwa wa kwanza na wa mwisho wa hilo kombe la urafiki sijui ujirani ksbb haitakuwepo tena,this I can assure U Mkuu.
2. Kitu pekee ambacho mnaweza kuendeleza kuweka record ni kukusanya hayo makombe Mbuzi sijui Mapinduzi Cup,sijui Ujirani wa karibu,sijui Mo Cup,Kinesi Cup n.k huku mkijipa moyo kuwa eti ni mwanzo mzuri...kalaghabaho
2.
 
1. Hapo kwenye red sentensi hiyo itakuwa na mantiki tu endapo ZFA watakuwa wana'run short of fund kila mwaka na kuendelea na technique hiyo ya kutafuta fedha kwa kuandaa Kombe mbuzi na kuzialika team kubwa ie Yanga,Simba na Azam ili wapige hela kama walivyopiga this time...lkn kama mipango ya Rais mpya wa ZFA itakuwa endelevu na kuifanya ZFA kuwa na uwezo wa kusimama vizuri utaweza kuiita Simba kama mabingwa wa kwanza na wa mwisho wa hilo kombe la urafiki sijui ujirani ksbb haitakuwepo tena,this I can assure U Mkuu.
2. Kitu pekee ambacho mnaweza kuendeleza kuweka record ni kukusanya hayo makombe Mbuzi sijui Mapinduzi Cup,sijui Ujirani wa karibu,sijui Mo Cup,Kinesi Cup n.k huku mkijipa moyo kuwa eti ni mwanzo mzuri...kalaghabaho
2.


Haijulikani unachokipinga ni nini. Lengo lako ni kukanusha alichoandika mwenzio au kubeza ushindi wa Simba?
 
1. Hapo kwenye red sentensi hiyo itakuwa na mantiki tu endapo zfa watakuwa wana'run short of fund kila mwaka na kuendelea na technique hiyo ya kutafuta fedha kwa kuandaa kombe mbuzi na kuzialika team kubwa ie yanga,simba na azam ili wapige hela kama walivyopiga this time...lkn kama mipango ya rais mpya wa zfa itakuwa endelevu na kuifanya zfa kuwa na uwezo wa kusimama vizuri utaweza kuiita simba kama mabingwa wa kwanza na wa mwisho wa hilo kombe la urafiki sijui ujirani ksbb haitakuwepo tena,this i can assure u mkuu.
2. Kitu pekee ambacho mnaweza kuendeleza kuweka record ni kukusanya hayo makombe mbuzi sijui mapinduzi cup,sijui ujirani wa karibu,sijui mo cup,kinesi cup n.k huku mkijipa moyo kuwa eti ni mwanzo mzuri...kalaghabaho
2.
mapovu yanawatoka sana watani
 
1. Hapo kwenye red sentensi hiyo itakuwa na mantiki tu endapo ZFA watakuwa wana'run short of fund kila mwaka na kuendelea na technique hiyo ya kutafuta fedha kwa kuandaa Kombe mbuzi na kuzialika team kubwa ie Yanga,Simba na Azam ili wapige hela kama walivyopiga this time...lkn kama mipango ya Rais mpya wa ZFA itakuwa endelevu na kuifanya ZFA kuwa na uwezo wa kusimama vizuri utaweza kuiita Simba kama mabingwa wa kwanza na wa mwisho wa hilo kombe la urafiki sijui ujirani ksbb haitakuwepo tena,this I can assure U Mkuu.
2. Kitu pekee ambacho mnaweza kuendeleza kuweka record ni kukusanya hayo makombe Mbuzi sijui Mapinduzi Cup,sijui Ujirani wa karibu,sijui Mo Cup,Kinesi Cup n.k huku mkijipa moyo kuwa eti ni mwanzo mzuri...kalaghabaho
2.



CECAFA na KAGAME CUP je? Kwanini isiende somalia au southern sudan?

Kwa timu iliyoacha wachezaji 11 ni mashindano ambayo yangejenga timu 'mpya' ya kwenda Kagame. Sasa tuone nani atanufaika na nini? Hayo unayoyaita ya mbuzi au ile mechi ya kirafiki ya 'kutengeneza' KARIBUNI KAGAME 1\2 Final
 
nusu ya mshara wa niyonzima

Kutoana jasho hadi la m****ni kote kule zawadi ni 6.3M? they must be joking....kweli wajinga ndo waliwao...zidumu fikra za Viongozi wa team yangu kwa maamuzi yao ya busara ya kutopeleka chama kamili kwenye lile kombe la mbuzi lililokuwa la kuwanufaisha watu wachache
 
CECAFA na KAGAME CUP je? Kwanini isiende somalia au southern sudan?

Kwa timu iliyoacha wachezaji 11 ni mashindano ambayo yangejenga timu 'mpya' ya kwenda Kagame. Sasa tuone nani atanufaika na nini? Hayo unayoyaita ya mbuzi au ile mechi ya kirafiki ya 'kutengeneza' KARIBUNI KAGAME 1\2 Final

Kumrudisha Kocha mkuu haraka,kusafirisha team hadi Zanzibar kucheza mechi kadhaa kisha kuirudisha team Dar kwaajili ya fainali kwa ujumla kusimamisha kila kitu huku wachezaji wakipigana kiume uwanjani nusura ya kuvunjana miguu kwa mashindano yenye zawadi ya Mil 6 na laki 3 ni sign za kutotumia akili zao vizuri,lkn sina shaka watakuwa wamejifunza kutoka kwa Yanga nina uhakika next time katika mazingira kama haya wakialikwa tena kwenye kombe la mbuzi kama hili lazima watapeleka team B katika mikakati ya kuikomaza kama ilivyofanya Yanga
 
1. Hapo kwenye red sentensi hiyo itakuwa na mantiki tu endapo ZFA watakuwa wana'run short of fund kila mwaka na kuendelea na technique hiyo ya kutafuta fedha kwa kuandaa Kombe mbuzi na kuzialika team kubwa ie Yanga,Simba na Azam ili wapige hela kama walivyopiga this time...lkn kama mipango ya Rais mpya wa ZFA itakuwa endelevu na kuifanya ZFA kuwa na uwezo wa kusimama vizuri utaweza kuiita Simba kama mabingwa wa kwanza na wa mwisho wa hilo kombe la urafiki sijui ujirani ksbb haitakuwepo tena,this I can assure U Mkuu.
2. Kitu pekee ambacho mnaweza kuendeleza kuweka record ni kukusanya hayo makombe Mbuzi sijui Mapinduzi Cup,sijui Ujirani wa karibu,sijui Mo Cup,Kinesi Cup n.k huku mkijipa moyo kuwa eti ni mwanzo mzuri...kalaghabaho
2.

tu-goli twenyewe tutano tu,hadi leo tunakupa kiwewe!!..............hebu tulia bana,next time tutawafunga nne tu ili msipate sterss!
 
mlion 6 na laki3
Zawadi ni milion kumi na mshindi wa pili milion tano, hiyo hela sio ndogo kama unavyofikiria, utaonaaje hiyo ndogo kwa mechi tano wakati Yanga mmecheza mechi 26 za ligi kuu mkaambulia milion 17 tu na kuweka dreva wenu rehani na mkashindwa kumkomboa na faini kibao walizopigwa wachezaji wenu hivyo mkilipa faini zote mnaweza kujikuta mnabakiwa hata na milioni nane tu ambayo ni ndogo ukilinganisha na tuliyopata sisi jana.
 
Kumrudisha Kocha mkuu haraka,kusafirisha team hadi Zanzibar kucheza mechi kadhaa kisha kuirudisha team Dar kwaajili ya fainali kwa ujumla kusimamisha kila kitu huku wachezaji wakipigana kiume uwanjani nusura ya kuvunjana miguu kwa mashindano yenye zawadi ya Mil 6 na laki 3 ni sign za kutotumia akili zao vizuri,lkn sina shaka watakuwa wamejifunza kutoka kwa Yanga nina uhakika next time katika mazingira kama haya wakialikwa tena kwenye kombe la mbuzi kama hili lazima watapeleka team B katika mikakati ya kuikomaza kama ilivyofanya Yanga
Mkuu mbona unaniangusha sasa na wewe, usiwe unaamini kila kitu japo chukua muda kupata habari toka vyanzo vingine, Zawadi ilikuwa ni milioni kumi na siyo 6.3M kama alivyoandika huyo jamaaa, fact inabakia kuwa fact na hakuna bias Azam wenyewe tuliowafunga wanajua Simba walichukua 10M sasa nyie ambao mlikuwa hata hamhusiki sijui hizo taarifa mmezipata wapi? kuendelea kuamini kwamba Simba walipata 6.3M ni kujilisha upepo.
 
1. Hapo kwenye red sentensi hiyo itakuwa na mantiki tu endapo ZFA watakuwa wana'run short of fund kila mwaka na kuendelea na technique hiyo ya kutafuta fedha kwa kuandaa Kombe mbuzi na kuzialika team kubwa ie Yanga,Simba na Azam ili wapige hela kama walivyopiga this time...lkn kama mipango ya Rais mpya wa ZFA itakuwa endelevu na kuifanya ZFA kuwa na uwezo wa kusimama vizuri utaweza kuiita Simba kama mabingwa wa kwanza na wa mwisho wa hilo kombe la urafiki sijui ujirani ksbb haitakuwepo tena,this I can assure U Mkuu.
2. Kitu pekee ambacho mnaweza kuendeleza kuweka record ni kukusanya hayo makombe Mbuzi sijui Mapinduzi Cup,sijui Ujirani wa karibu,sijui Mo Cup,Kinesi Cup n.k huku mkijipa moyo kuwa eti ni mwanzo mzuri...kalaghabaho
2.

Huhitaji kuwa mtabiri kujua wewe ni shabiki wa Yanga a.k.a wazee wa TANO BILA.

But usijali najua mmesajili wachezaji ambao ni wazuri magazetini but mkikutana na mnyama tu lazima mumfukuze mwenyekiti wenu mtae mchagua jumapili.

Pole kaka maisha ndivyo yalivyo, sometime unajikuta uko sehemu ambayo haiko kivile (Team, Familia, Taifa, Kabila, Dini na n.k)
 
Mkuu mbona unaniangusha sasa na wewe, usiwe unaamini kila kitu japo chukua muda kupata habari toka vyanzo vingine, Zawadi ilikuwa ni milioni kumi na siyo 6.3M kama alivyoandika huyo jamaaa, fact inabakia kuwa fact na hakuna bias Azam wenyewe tuliowafunga wanajua Simba walichukua 10M sasa nyie ambao mlikuwa hata hamhusiki sijui hizo taarifa mmezipata wapi? kuendelea kuamini kwamba Simba walipata 6.3M ni kujilisha upepo.
Si Yahoo alikuwa amenilisha "tango pori" mi niliamini alikuwa na taarifa from the reliable source vile mi sikuona haja ya kufuatilia details za mashindano yale ksbb to me mashindano yale yalikuwa sawa na ya Kinesi Cup,anyway hongereni Watani.
 
Si Yahoo alikuwa amenilisha "tango pori" mi niliamini alikuwa na taarifa from the reliable source vile mi sikuona haja ya kufuatilia details za mashindano yale ksbb to me mashindano yale yalikuwa sawa na ya Kinesi Cup,anyway hongereni Watani.
Sawa mkuu lakini siku nyingine kumbuka msemo kama huu, kitu kama huna uhakika nacho usikiseme, kama utalazimika kusema basi usiandike, kama utalazimika kuandika usisaini na ikitokea umesaini basi kiwe ni uhakika vinginevyo kitakuletea matatizo hasa kama kinadhalilisha watu wengine.
 
mapovu yanawatoka sana watani
Tatizo wapinzani hawakubali matokea wao wamekali kuponda tu mfano huyu Anselm kwa kuwa yeye ni Yanga basi kashajijenge itikadi ya kuto kuikubali Simba hata ikifanya mazuri ndio maana soka letu linakuwa limejaa mdomoni lakini uwanjani hakuna kitu...Aaaaghrrrrrr TUBADILIKE
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom