Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Waziri Simbachawene amewataka wakuu wa mkoa na wilaya kuacha ubabe na badala yake wafuate sheria pindi wanapotaka kumuweka ndani mtumishi wa umma au Kiongozi wa kisiasa. Amesema ukamataji usifanywe kwa akili ya show off, Bali haki, utu, na heshima us MTU vithaminiwe! Source ITV Habari