Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Simbachawene amesema wakuu wa mikoa watakaoshindwa kutimiza agizo la kumaliza upungufu wa madawati mikoani kwao atawapeleka kwa muajiri wao ambae ni Magufuli
Amesema kuna uwezekano mdogo wa kimaliza madawati hayo kwa wakati ukiopangwa ambao ni mwishoni mwa December
Mikoa hiyo ambayo ipo nyuma sana ni Geita, Mwanza, Simiyu, Kigoma Dodoma
Amesema kuna uwezekano mdogo wa kimaliza madawati hayo kwa wakati ukiopangwa ambao ni mwishoni mwa December
Mikoa hiyo ambayo ipo nyuma sana ni Geita, Mwanza, Simiyu, Kigoma Dodoma