Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 958
- 1,316
We hujielewi polisi wanalipa mshahara kwa cheo na ngazi ya elimu kuwa na degree haimaanishi askari hataenda lindo na akamzidi mshahara staff wa benk, huyo mwanasiasa anajiongelea tu ajifunze kwa mawaziri wa ulinzi kwa mfano Raisi wa Zanzibar wa sasa kipindi chake chote ha uwaziri wa ulinzi hajawahi kutamka maneno ya dhihaka kama yale pili huyo jamaa ajawahi kuwa askari hivyo anaongea mambo hata hayajui.Mbona alisema ukweli nyie mnataka uongo wewe umalize degree yako ulale nje eti unalinda benki wakati hata una akaunti kwenye hiyo benki, unabeba siraha siku nzima mshahara laki 3. hiyo kazi ya police inafaa walio feri f4 tena kwao nikijijini na nimasikini, walio kata tamaa,......sio mtu alie soma kwani hapo alikosea?