Simbachawene: Toka mpiga debe hadi Naibu waziri

ebaeban

JF-Expert Member
Jan 15, 2012
2,205
2,689
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.

Tehe......tehe.....Kwiiii......kwiiii.....
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.

Kama taarifa hii ni ya kweli,basi huyu bwana atakuwa ni mpiganaji wa kweli wa maisha kwa sababu hata wakati anagombea ubunge alifanya kampeni ambayo ilimfikisha maeneo yote aliyokulia na walimpatia kura zao.na huenda wote wanaijua historia yake hiyo na walimpa ubunge wakitarajia ni mtoto wa maskini.

Tatizo linaanzia pale alipoingia bunngeni na kurudia kazi yake ya zamani ya upiga debe,safari hii akipigia debe basi moja linaloitwa ccm na dereva wa basi hilo anaitwa jakaya kikwete.pia kampuni hiyo ina ofisi yake kuu ya booking pale chimwaga Dodoma.

Sasa amepata promo ya kuukwaa ukuu kupitia kampuni hiyo ingawa nayo inaonekana kuyumba kama ile ya mjomba wake ambayo kwa sasa imefilisika kama hii ccm ilivyoanza kufilisika..kama lile la kenya ambalo lilipata ajali siku nyingi maarufu kama kanu.
 
kuna nini cha ajabu unachotka kusema juu yake...basi atakuwa anajua tabu ..na anaweza akawa anatufaa au asitufae!
 
Lipi jema kwa watanzania, mimi sioni kama ni kosa la Rais kumchangua mpiga debe. Tatizo ni letu sisi wananchi kumchangua mpiga debe kuwa Mbuge.

Na zaidi Rais hana watu wa kuwachangua CCM maana wengi ni mchwa huyo ndiyo ameonekana bora kati ya wakora wengi. Tumuombee awe msikivu na mzalendo ili afanye kazi kwa maslahi ya wananchi
 
Kama taarifa hii ni ya kweli,basi huyu bwana atakuwa ni mpiganaji wa kweli wa maisha kwa sababu hata wakati anagombea ubunge alifanya kampeni ambayo ilimfikisha maeneo yote aliyokulia na walimpatia kura zao.na huenda wote wanaijua historia yake hiyo na walimpa ubunge wakitarajia ni mtoto wa maskini.

Tatizo linaanzia pale alipoingia bunngeni na kurudia kazi yake ya zamani ya upiga debe,safari hii akipigia debe basi moja linaloitwa ccm na dereva wa basi hilo anaitwa jakaya kikwete.pia kampuni hiyo ina ofisi yake kuu ya booking pale chimwaga Dodoma.

Sasa amepata promo ya kuukwaa ukuu kupitia kampuni hiyo ingawa nayo inaonekana kuyumba kama ile ya mjomba wake ambayo kwa sasa imefilisika kama hii ccm ilivyoanza kufilisika..kama lile la kenya ambalo lilipata ajali siku nyingi maarufu kama kanu.
Kwa hali ilivyo sauti itamkauka na abiria wataendelea kushuka kutoka kwenye basi lao!
 
Anayo bar yake pale vingunguti relini ,mara nyingi yuko hapo wakati wa mapunziko ya bunge!
 
kusema ukweli naamini george anaweza kuleta something different he seems to be strategic

Mkuu nimefarijika mleta mada amejijibu mwenyewe kwamba unaweza ukawa shoe shiner lakini ukaishia kwenye Urais. Simba alikuwa mpiga debe lakini akaonyesha juhudi hadi kupata degree na sasa anasoma degree ya uzamili katik utawala. Hizo ni juhudi za kupigiwa chapuo tusibweteke tukijiwezesha tunaweza.

Hata mimi imani yangu ni kwamba Simbachawene anaweza kutuletea kitu. Shilingi yangu naitupa kwake.
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.
Hadithi hii kakufundisha nani??!!
 
Mkuu nimefarijika mleta mada amejijibu mwenyewe kwamba unaweza ukawa shoe shiner lakini ukaishia kwenye Urais. Simba alikuwa mpiga debe lakini akaonyesha juhudi hadi kupata degree na sasa anasoma degree ya uzamili katik utawala. Hizo ni juhudi za kupigiwa chapuo tusibweteke tukijiwezesha tunaweza.

Hata mimi imani yangu ni kwamba Simbachawene anaweza kutuletea kitu. Shilingi yangu naitupa kwake.


Simba kweli kuna muda aliwahi kujaribu kuwa mtu wa maana pamoja na kina Ane kilango, ...
Lakini naona , kama alivyosema jamaa mmoja hapo juu kaamua kurudia kazi yake ya zamani ya upiga debe kwa kuipigia
debe CCM.

Tena wakati mwingine huwa anaamua tu kuwabishia kina Tundu Lissu, sui kwanini!?
Nakumbuka Tundu Lissu alipothibitisha kisheria kuwa kuvaa skafu yenye bendera ya taifa alikofanya mbunge mmoja wa
ccm bungeni....hilo ni kosa la jinai kwa mujibu wa sheria zetu, na Lissu akashauri jamaa ashugulikiwe kisheria au bunge
litamke kuwa sheria hiyo imefutwa!

Ajabu ya dunia Simbachawene alikuwa amekaimu kiti cha spika ......akasema eti Lissu amepitwa na wakati sababu hilo
swala raisi alishatamka kuwa watu waachwe wavae bendera za taifa!!!!!

Hapo ndipo nikamdharau sana sana bwana huyu, tamko la raisi lina tengua sheria???
 
Jitahada binafsi ndio zilizomfikisha hapo (elimu) Hongera yake. Ila linapokuja swala yeye kuwa miongoni mwa askari wa kikwete kuleta ukombozi, ni lazima atachemka tu..
Najua unataka sababu nayo nii hii tena kuu; Hakuna mpiganaji wa kweli ndani ya CCM, after all nadhani atakuwa resi kuhakikisha anakwapua masalia kwani magamba mwisho wao u-karibu,,,.
 
Mama J. Banda alikuwa muuza maandazi, leo ni rais wa Malawi. Huu ni mfano wa watu wanaojitengenezea opportunity wenyewe wanahitaji sifa ya pekee. Labda wakiboronga kwenye utawala wao, na sasa tutamhukumu kwa uongozi wake bila kuathiri historia yake ya mfano. Mengine uliyosema sioni kama yana msingi hapa hata mimi ningelia kama mtoto mdogo kama ningeona binadamu mwenzangu kasagwa na gari!!!
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom