Kama ni hivyo kwani Samia au Kikwete au Majaliwa wakiwa wanapita mabarabara mnatusumbua sumbua na vingora vyenu kututaka tuweke V8 zetu pembeni hadi hao wapite ?Akijibu swali la mtangazaji wa ITV Midle kuhusu uchunguzi ulipofikia kwenye tukio la kushambuliwa Tundu Lisu mbunge by then mh Simbachawene amesema yapo matukio mengi ya kutumia silaha yanayochunguzwa na hilo la Tundu Lisu siyo special ni uhalifu kama mwingine hivyo yote yanashughulikiwa kwa usawa.
Simbachawene amesema ifike mahali watanzania waelewe jukumu la polisi ni kulinda raia wote na mali zao kwa usawa na isionekane fulani ni muhimu kuliko fulani.
Chanzo: ITV
Ni 'number one suspect'.By the way,who is the most suspect for this?
Wewe kama ulifungua geti kuruhusu magaidi subiria karma yako itakufikia.Wewe
Unadhani Tundu ni special sana kuliko vijana na wamama waliouliwa arusha na sehemu zingine na watu wasiojulikana?
Watu wote ni sawa hivyo tulirni na kama mna ushahidi nenda polive upeleke kwa yule unamtetea.
Tunajua hamuwezi kujichunguza, ila ipo siku mtachunguzwa.Kaenda Tanzania mwaka 2020 kufanya kampeni kazunguuka, kazuruula karibu nchi yote, bila hata kuguswa. Baada ya kuona kashindwa kaondoka zake. Kapitia pale uwanja wa ndege wa Dar huku akiweka mikono yake mfukoni na kupiga mluzi...
Ili kukata mzizi wa fitina na ili kumnyamazisha Lissu, kwani serikali inayoaamini haihusiki na shambulio la Lissu isiunde tume huru kuchunguza tukio hili...
Kwenye mauaji ya kishamba yaliyofanyika Mtwara na kumpora hela mfanyabiashara ni waathirika gani waliohojiwa ili kuwezesha wale askari 7 majambazi kukamatwa ?Kushambuliwa kwa Lissu kulitusikitisha wengi, mbali na Lissu mwenyewe kuitakia mabaya Tanzania wakati huo. Lakini kitendo cha wahathirika wa tukio lile kukataa kutoa ushirikiano, kilinipa, kinanipa maswali mengi kujua lengo...
Serikali ya Tanzania ijichunguze yenyewe ? Unakumbuka tuliomba uchunguzi wa kimataifa kuhusu jambo hili , uliona wapi serikali yako ikikubali ?Ndugu yangu Salary Slip, miaka yoote binafsi nimeyasema haya lakini naonekana mpumbavu...kama Lissu au CDM wanajua nani mhusika na mchoro wote wanasubiri nini kuutangazia umma na kuomba msaada kisheria kimataifa?...
Serikali ya Tanzania ijichunguze yenyewe ? Unakumbuka tuliomba uchunguzi wa kimataifa kuhusu jambo hili , uliona wapi serikali yako ikikubali ?
Kushambuliwa kwa Lissu kulitusikitisha wengi, mbali na Lissu mwenyewe kuitakia mabaya Tanzania wakati huo. Lakini kitendo cha wahathirika wa tukio lile kukataa kutoa ushirikiano, kilinipa, kinanipa maswali mengi kujua lengo.
Mleta mada unaweza kutoa sababu za msingi za kumficha shahidi muhimu aliyeshuhudia tukio lile, ?inasemwa alikuwa na mwenzake kwenye gari wakati anashambuliwa !
Ndugu yangu Salary Slip, miaka yoote binafsi nimeyasema haya lakini naonekana mpumbavu...kama Lissu au CDM wanajua nani mhusika na mchoro wote wanasubiri nini kuutangazia umma na kuomba msaada kisheria kimataifa?.....
Miaka yoote TL yuko Belgium, na anajua sheria..kwanini asiombe jumuiya y kimataif a iishinikize GOT kufanyia suala lake uchunguzi?
Na pesa tunazokopa kama Serikali, na misaada ya mapesa kibao tunayopewa toka World Bank, IMF na European Union, si mapesa hayohayo ya Amsterdam? Khy hata sisi kama Taifa tunapitisha bakuli kuwa sisi masikini ili tupate hayo mapesa? Jamani, tuwe tunatulia kidogo kabla ua kuandika vitu hapa JF.Mlelewa Ubelgiji anatafuta kila mbinu ili aendelee kupewa hela na Amsterdam