Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Huyo akili zake na Ndugaye hazina tofautiKwa maneno ya waziri maana yake suala la uraia wa mtu ni open ended question, hata uwe na aina gani ya ID muda wowote tunaweza kurudi tena kwenye swala la uraia.