Mzee Uchwara
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 119
- 35
Naibu waziri wa nishati na madini amelitaka gazeti la tanzania daima limuombe radhi, kutokana na kuandika habari za uongo ambazo zilisema kuwa amesema watanzania watumie vibatari kama wakishindwa kulipia umeme. Amesema kuwa umeme haujapanda bado,lakina tanesko wameomba umeme upanda kwa asilimia 67. Kwani suala hili liko EWURA. Source dk 45 ITV. Kwa nini tanzania daima lina waandishi wa habari makanjanja? Au wanatoa ajira kwa upendeleo? Nawasilisha.