MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Tuhuma zilithibitishwa kwenye kamati ya maadili ya bunge, ile kamati iliyomtia hatiani Pascal Mayalla kwa wakati mmoja na CAG Prof. Asad kwa wakati mwingine.
kama unayo clip ya mamlaka ya uteuzi ikitoa sababu za kujaza nafasi ya nguruwechawene itupie hapa.
kama huna tuondolee busha lako hapa.
Hujawahi kuwa na Akili siku zote hapa Mtandaoni na ningeshangaa sana leo ungekuwa nazo.