kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,079
- 10,386
HILO NI BONANZA MKUU UNAWEZA KUCHEZA UKATOKA BAADAE UKAINGIA TENA katiba mpya ndio itaondoa huu ujinga
Umechanganya mambo mengi hueleweki unataka kusema nini. Anza moja, limalize, ndipo uingilie jingine,. Huenda una point ila umezivuruga!Nimeshangazwa sana uteuzi wa Simbachawene kuziba nafasi iliyoachwa na Januari Makamba aliyetenguliwa kwa kosa la baba yake.Simbachawene alihusishwa na tuhuma za uhujumu Uchumi kwenye Tume ya Kuchunguza Biashara ya Madini na akajiuzulu.
Sasa leo hii Rais Magufuli anajipambanua katika kupambana na Rushwa na Ufisadi iweje kamteua tena Simbachawene kurudi kwenye Baraza la Mawaziri na katumia vigezo gani na sifa zipi hasa. Hii kama siyo DOUBLE STANDARDS ni kitu gani?
Ile kauli ya Mzee Makamba na Kinana na Nape kuwa Magufuli ni MSHAMBA na AMESHA ANZA KUCHANGANYIKIWA inajidhihirisha katika uteuzi na utenguaji huu.
Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM(T) na Rais wa JMT anazidi kuibomoa CCM vipande vipande huku akiendelea kutengeneza maadui ambao siku moja wakiamua kuungana hali itakuwa mbaya kuliko inavyodhaniwa.
Haiwezekani mtu ambaye ni chanzo cha yote haya: Bwana Cyprian Musiba yeye haguswi, haonywi wala hasemwi. Musiba ameonekana naye ni mtoto pendwa sawa na DAB(Bashite).
Hawa jamaa 2 inaonekana hata wakiamua siku kumtukana mkuu na kwenda kupaka kinyesi Ikulu Rais ataendelea kuwabeba na kuwalinda wasiguswe.
Hii ni hatari sana!
Kwa maelezo yako haya wewe ndo mpuuzi na LOWEST Thinker! Kulinganisha tukio la kujiuzulu kwa Mzee Ruksa na kujiuzulu kwa Simbachawene ni uzezeta na upoyoyo…!
Mzee Alijiuzulu kwa hiari kuonesha uungwana na Uadilifu wake kwa matukio yaliyofanywa na Polisi pasipo maagizo yake!
Simbachawane ni FISADI amehusika katika UTOROSHAJI WA MADINI YETU NA KUSAINI MIKATABA YA KIFISADI! Huyu jamaa ni fisadi na ananuka RUSHWA hakupaswa kuteuliwa kama Waziri tena hata kwa nyukta moja!
Unacha
Umechanganya mambo mengi hueleweki unataka kusema nini. Anza moja, limalize, ndipo uingilie jingine,. Huenda una point ila umezivuruga!
Kama hujuia kuandika kwa kiswahili fasaha basi, hoja yako inageuka takataka moja kwa moja!Na wewe uende kumuuliza kabla ya kuleta uzi hapa. UMESHAUZA ROHO YAKO KWA MAFISADI, THEN LEO UNATAKA JPM HAKUFURAISHE.
Hamjui kwamba ana kipaji cha usaniii hasa anapotafuta sifa haon shida kutoa kafara wenzie.Lissu pmj na lugha kali aliyotumia kuhusu zile report za maprof wa jalalañi kuwa ni professorial rubbish na kusisitiza kuwa zilijaa uongo ulikua ndo ukweli wenyew. Jamaa anapenda cheap popularityNimeshangazwa sana uteuzi wa Simbachawene kuziba nafasi iliyoachwa na Januari Makamba aliyetenguliwa kwa kosa la baba yake.Simbachawene alihusishwa na tuhuma za uhujumu Uchumi kwenye Tume ya Kuchunguza Biashara ya Madini na akajiuzulu.
Sasa leo hii Rais Magufuli anajipambanua katika kupambana na Rushwa na Ufisadi iweje kamteua tena Simbachawene kurudi kwenye Baraza la Mawaziri na katumia vigezo gani na sifa zipi hasa. Hii kama siyo DOUBLE STANDARDS ni kitu gani?
Ile kauli ya Mzee Makamba na Kinana na Nape kuwa Magufuli ni MSHAMBA na AMESHA ANZA KUCHANGANYIKIWA inajidhihirisha katika uteuzi na utenguaji huu.
Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM(T) na Rais wa JMT anazidi kuibomoa CCM vipande vipande huku akiendelea kutengeneza maadui ambao siku moja wakiamua kuungana hali itakuwa mbaya kuliko inavyodhaniwa.
Haiwezekani mtu ambaye ni chanzo cha yote haya: Bwana Cyprian Musiba yeye haguswi, haonywi wala hasemwi. Musiba ameonekana naye ni mtoto pendwa sawa na DAB(Bashite).
Hawa jamaa 2 inaonekana hata wakiamua siku kumtukana mkuu na kwenda kupaka kinyesi Ikulu Rais ataendelea kuwabeba na kuwalinda wasiguswe.
Hii ni hatari sana!
Teja la Lumumba hlo mkuujifunze kusoma na kuelewa! Hoja ya mleta hoja ni kwanini mtuhuhumiwa Wa uhujumu uchumi badala ya kushtakiwa kwenye mahakama ya ufisadi kateuliwa kuwa waziri! Hayo ya Mbowe hayaandikwa. Haya jibu swali LA mleta hoja!
Pumba!
Kipi ambacho Musiba kakiongea hakija tiki?
Niliisema nyumaMiaka ya baadae Musiba na Makonda hawatapikika chungu ki moja kwa kuwa kuna mmoja anataka kumfunika mwenyeji wake
huyu ni muhujumu uchumi!!Samahani ila Swali lako kama ulivyoliuliza katika Kichwa chako cha Habari hapo juu ni la Kipuuzi na Kitoto sana. Kwani alipoteuliwa huko awali unadhani labda hakuwa na Sifa zozote zile? Na je kuna Mtanzania mwenye ambaye hapaswi au hatakiwi kuwa Kiongozi? Na je kuna Dhambi yoyote ile aliyejiuzuru leo akiteuliwa aukatae huo Uteuzi? Miaka ya 80 Mzee na Rais Mstaafu Mwinyi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzuru lakini mbona baadae alionekana anafaa na hadi akaja kuwa Rais wetu kati ya mwaka 1985 hadi 1995? Sometimes tujitahidi kuwa Great Thinkers wa ukweli.
Kama mwepesi mnalialia nini mitandaoni?Ahsante kada...maana wachache wanajua kua Mbowe ni mgumu nasi mwepesi kama JPM.
Km unaanza nyoosha mikono. Naona unalilia kuwa wengine hawaguswi.Ila tatizo umeanza kwa kumtukana aliyeshika mpini wa panga lenu. CCM hamna uwezo wa kiakili wa kupiga kifua na Magufuli. CCM ni km wadudu wanaochachusha maziwa,huwa wanayachachusa hadi yanawaua.Nimeshangazwa sana uteuzi wa Simbachawene kuziba nafasi iliyoachwa na Januari Makamba aliyetenguliwa kwa kosa la baba yake.Simbachawene alihusishwa na tuhuma za uhujumu Uchumi kwenye Tume ya Kuchunguza Biashara ya Madini na akajiuzulu.
Sasa leo hii Rais Magufuli anajipambanua katika kupambana na Rushwa na Ufisadi iweje kamteua tena Simbachawene kurudi kwenye Baraza la Mawaziri na katumia vigezo gani na sifa zipi hasa. Hii kama siyo DOUBLE STANDARDS ni kitu gani?
Ile kauli ya Mzee Makamba na Kinana na Nape kuwa Magufuli ni MSHAMBA na AMESHA ANZA KUCHANGANYIKIWA inajidhihirisha katika uteuzi na utenguaji huu.
Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM(T) na Rais wa JMT anazidi kuibomoa CCM vipande vipande huku akiendelea kutengeneza maadui ambao siku moja wakiamua kuungana hali itakuwa mbaya kuliko inavyodhaniwa.
Haiwezekani mtu ambaye ni chanzo cha yote haya: Bwana Cyprian Musiba yeye haguswi, haonywi wala hasemwi. Musiba ameonekana naye ni mtoto pendwa sawa na DAB(Bashite).
Hawa jamaa 2 inaonekana hata wakiamua siku kumtukana mkuu na kwenda kupaka kinyesi Ikulu Rais ataendelea kuwabeba na kuwalinda wasiguswe.
Hii ni hatari sana!
Watanzania wanyonge ni nyie ccm, usilazimishe wengine kuwa wanyonge. Komeni na na jina lenu la kudhalilisha watu.Kama maadui wa Mbowe wameshindwa kumng'oa kwenye uenyekiti ,sembuse rais aliyechaguliwa na watanzania wanyonge
..
Tunamwomba pia amrudishe Mhe. Prof. Muhongo.
huyu ni muhujumu uchumi!!
Tuhuma zilithibitishwa kwenye kamati ya maadili ya bunge, ile kamati iliyomtia hatiani Pascal Mayalla kwa wakati mmoja na CAG Prof. Asad kwa wakati mwingine.Ulithibitishaje na alihukumiwa wapi na lini? Kama huna Majibu basi nakushauri tu just keep your Pig Mouth shut please!