BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Aaaa wapi... Wanajua Sana. Si ukiona lowassa karudi. Rostam alisema nini?. Kumbuka ch 10 wamerudisha. Bado hisa za VodacomChochea kuni nasema mpaka fisiem kubakie majivu tu
Aaaa wapi... Wanajua Sana. Si ukiona lowassa karudi. Rostam alisema nini?. Kumbuka ch 10 wamerudisha. Bado hisa za VodacomChochea kuni nasema mpaka fisiem kubakie majivu tu
Akili za Kichadema chadema siku zote ni za ovyo ovyo tu, sasa Mh.Rais unampangia cha kufanya ? Unampangia nani amteue na nani amuache? Webdawazimu wengine ni balaa. Mbona hili Li-Mbowe lako hujaliambia likapumzika huo umwenyekiti wa Maisha? Kila mwaka lenyewe ndilo limwenyekiti Cdm Taifa. Je huyo ni Sultan ? Achana na JPM. Muhoji huyo Mbowe wakoNimeshangazwa sana uteuzi wa Simbachawene kuziba nafasi iliyoachwa na Januari Makamba aliyetenguliwa kwa kosa la baba yake.Simbachawene alihusishwa na tuhuma za uhujumu Uchumi kwenye Tume ya Kuchunguza Biashara ya Madini na akajiuzulu.
Sasa leo hii Rais Magufuli anajipambanua katika kupambana na Rushwa na Ufisadi iweje kamteua tena Simbachawene kurudi kwenye Baraza la Mawaziri na katumia vigezo gani na sifa zipi hasa. Hii kama siyo DOUBLE STANDARDS ni kitu gani?
Ile kauli ya Mzee Makamba na Kinana na Nape kuwa Magufuli ni MSHAMBA na AMESHA ANZA KUCHANGANYIKIWA inajidhihirisha katika ueuzi na utenguaji huu.
Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM(T) na Rais wa JMT anazidi kuibomoa CCM vipande vipande huku akiendelea kutengeneza maadui ambao siku moja wakiamua kuungana hali itakuwa mbaya kuliko inavyodhaniwa.
Haiwezekani mtu ambaye ni chanzo cha yote haya: Bwana Cyprian Musiba yeye haguswi, haonywi wala hasemwi. Musiba ameonekana naye ni mtoto pendwa sawa na DAB(Bashite).
Hawa jamaa 2 inaonekana hata wakiamua siku kumtukana mkuu na kwenda kupaka kinyesi Ikulu Rais ataendelea kuwabeba na kuwalinda wasiguswe.
Hii ni hatari sana!
KULA HIZO NDIZI NYAMA IKO CHINI MKUUNimeshangazwa sana uteuzi wa Simbachawene kuziba nafasi iliyoachwa na Januari Makamba aliyetenguliwa kwa kosa la baba yake.Simbachawene alihusishwa na tuhuma za uhujumu Uchumi kwenye Tume ya Kuchunguza Biashara ya Madini na akajiuzulu.
Sasa leo hii Rais Magufuli anajipambanua katika kupambana na Rushwa na Ufisadi iweje kamteua tena Simbachawene kurudi kwenye Baraza la Mawaziri na katumia vigezo gani na sifa zipi hasa. Hii kama siyo DOUBLE STANDARDS ni kitu gani?
Ile kauli ya Mzee Makamba na Kinana na Nape kuwa Magufuli ni MSHAMBA na AMESHA ANZA KUCHANGANYIKIWA inajidhihirisha katika ueuzi na utenguaji huu.
Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM(T) na Rais wa JMT anazidi kuibomoa CCM vipande vipande huku akiendelea kutengeneza maadui ambao siku moja wakiamua kuungana hali itakuwa mbaya kuliko inavyodhaniwa.
Haiwezekani mtu ambaye ni chanzo cha yote haya: Bwana Cyprian Musiba yeye haguswi, haonywi wala hasemwi. Musiba ameonekana naye ni mtoto pendwa sawa na DAB(Bashite).
Hawa jamaa 2 inaonekana hata wakiamua siku kumtukana mkuu na kwenda kupaka kinyesi Ikulu Rais ataendelea kuwabeba na kuwalinda wasiguswe.
Hii ni hatari sana!
Angetutangazia basi kabla ya kumteua!
Ahsante kada...maana wachache wanajua kua Mbowe ni mgumu nasi mwepesi kama JPM.Kama maadui wa Mbowe wameshindwa kumng'oa kwenye uenyekiti ,sembuse rais aliyechaguliwa na watanzania wanyonge
..
Unafuata wewe kutumbuliwa!Ile kauli ya Mzee Makamba na Kinana na Nape kuwa Magufuli ni MSHAMBA na AMESHA ANZA KUCHANGANYIKIWA inajidhihirisha katika ueuzi na utenguaji huu.
Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM(T) na Rais wa JMT anazidi kuibomoa CCM vipande vipande huku akiendelea kutengeneza maadui ambao siku moja wakiamua kuungana hali itakuwa mbaya kuliko inavyodhaniwa.
Watanzania wanyonge wa nchi gani haoKama maadui wa Mbowe wameshindwa kumng'oa kwenye uenyekiti ,sembuse rais aliyechaguliwa na watanzania wanyonge
..
Samahani ila Swali lako kama ulivyoliuliza katika Kichwa chako cha Habari hapo juu ni la Kipuuzi na Kitoto sana. Kwani alipoteuliwa huko awali unadhani labda hakuwa na Sifa zozote zile? Na je kuna Mtanzania mwenye ambaye hapaswi au hatakiwi kuwa Kiongozi? Na je kuna Dhambi yoyote ile aliyejiuzuru leo akiteuliwa aukatae huo Uteuzi? Miaka ya 80 Mzee na Rais Mstaafu Mwinyi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzuru lakini mbona baadae alionekana anafaa na hadi akaja kuwa Rais wetu kati ya mwaka 1985 hadi 1995? Sometimes tujitahidi kuwa Great Thinkers wa ukweli.
Nimeliwaza sana hili mkuu.Inawezekana it's an oversight?But how can it be.Ngoja tusubiri?Nimeshangazwa sana uteuzi wa Simbachawene kuziba nafasi iliyoachwa na Januari Makamba aliyetenguliwa kwa kosa la baba yake.Simbachawene alihusishwa na tuhuma za uhujumu Uchumi kwenye Tume ya Kuchunguza Biashara ya Madini na akajiuzulu.
Sasa leo hii Rais Magufuli anajipambanua katika kupambana na Rushwa na Ufisadi iweje kamteua tena Simbachawene kurudi kwenye Baraza la Mawaziri na katumia vigezo gani na sifa zipi hasa. Hii kama siyo DOUBLE STANDARDS ni kitu gani?
Ile kauli ya Mzee Makamba na Kinana na Nape kuwa Magufuli ni MSHAMBA na AMESHA ANZA KUCHANGANYIKIWA inajidhihirisha katika ueuzi na utenguaji huu.
Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM(T) na Rais wa JMT anazidi kuibomoa CCM vipande vipande huku akiendelea kutengeneza maadui ambao siku moja wakiamua kuungana hali itakuwa mbaya kuliko inavyodhaniwa.
Haiwezekani mtu ambaye ni chanzo cha yote haya: Bwana Cyprian Musiba yeye haguswi, haonywi wala hasemwi. Musiba ameonekana naye ni mtoto pendwa sawa na DAB(Bashite).
Hawa jamaa 2 inaonekana hata wakiamua siku kumtukana mkuu na kwenda kupaka kinyesi Ikulu Rais ataendelea kuwabeba na kuwalinda wasiguswe.
Hii ni hatari sana!
Akili za Kichadema chadema siku zote ni za ovyo ovyo tu, sasa Mh.Rais unampangia cha kufanya ? Unampangia nani amteue na nani amuache? Webdawazimu wengine ni balaa. Mbona hili Li-Mbowe lako hujaliambia likapumzika huo umwenyekiti wa Maisha? Kila mwaka lenyewe ndilo limwenyekiti Cdm Taifa. Je huyo ni Sultan ? Achana na JPM. Muhoji huyo Mbowe wako