Patrick Elias
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 332
- 108
Pia Kuna magimbi ya muhindi Mudy hayakutaka mbumbumbu mfuzuHmmh kuna mwana Simba Sc asiyetaka ifuzu kungia nusu fainali tofauti na mabumunda ya GSM? Hivi kwanini msijivunie tu kuwa mashabiki wa li team lenu (yanga)??
Yani hamna kabisa furaha licha ya liteam lenu kuongoza ligi??